Tuesday, December 27, 2011

Ngazi za umeme zaboresha usafiri katika jiji nchini Colombia

Natamani zingekuja na hapa Tanzania haswa maeneo ya Usambaani na Upareni kwenye milima
Msichana akipanda ngazi za umeme huko Comuna 13 karibu na Medellin nchini Colombia jana Desemba 26, siku ambayo zilizinduliwa.Ngazi hizi ni za kwanza za aina yake katika mji huo wenye visa vingi vya ubabe na kutumia nguvu. Na zimekuja kuwa mbadala wa zile za zege 350 zilizokuwepo awali.

Mama huyu naye anazitama ngazi hizo kwa mbele chini, zinapamba mji pia kusema ukweli

Luis Holguin (Kushoto) na binti yake Refsa wakipandishwa na ngazi hizo. Ni raha sana

Watoto nao wakijinafasi katika ngazi hizo

Muonekano mpana zaidi wa ngazi hizo. Jueni kwamba huduma hii ni BURE. Hulipii chochote.

No comments: