Natamani zingekuja na hapa Tanzania haswa maeneo ya Usambaani na Upareni kwenye milima
![]() |
Mama huyu naye anazitama ngazi hizo kwa mbele chini, zinapamba mji pia kusema ukweli |
![]() |
Luis Holguin (Kushoto) na binti yake Refsa wakipandishwa na ngazi hizo. Ni raha sana |
![]() |
Watoto nao wakijinafasi katika ngazi hizo |
![]() |
Muonekano mpana zaidi wa ngazi hizo. Jueni kwamba huduma hii ni BURE. Hulipii chochote. |
No comments:
Post a Comment