Wednesday, December 28, 2011

Kampuni ya Honda yaanza kuzisaga/kuziharibu gari zilizoharibiwa na mafuriko huko Thailand

Jionee mwenyewe zilivyoharibika kwa mafuriko

hapa zione kwa karibu zaidi

Gari limebebwa juu juu kupelekwa katika mtambo wa kusagia magari

Hapa gari likisagwa na mtambo maalum kiwandani

No comments: