Thursday, December 29, 2011

Ndege yaanguka na kushika moto wakati ikitua

Waokoaji wakiwa karibu na ndege ya abiria aina ya Tupolev 134 (juu na chini) iliyotengenezwa Urusi (Russia) ambayo ilianguka nje kidogo ya mji wwa Osh huko Kyrgyzstan jana Jumatano Desemba 28, 2011. Iliwaka moto mara baada ya kuanguka wakati ikitua. Mashuhuda walisema walijeruhiwa watu sita, hakuna aliekufa.


No comments: