Monday, December 19, 2011

Kuanzia Maigizo ya ITV hadi Degree Marekani

 Mdau na mpiganaji machachari Idd Ligongo,aliewahi kuwa muigizaji ktika michezo ya ITV hapa Tanzania hivi juzi kati alikula Nondozzz  ya "master of arts in communication," kutoka chuo kikuu cha Wichita State University, kilichopo Jimboni Kansas, nchini Marekani.

Mpiganaji Ligongo  baada ya kuchukua cheti chake

Mdau akiwa na mai waifu wake Mary-Mzubwa Ndaro, hii inakuwa kama vile mdau karudisha bao baada ya mai-waifu wake kula nondo toka chuo hicho hicho hivi karibuni

No comments: