Thursday, January 26, 2012

Bomu walilolengwa askari wa NATO lawauwa waAfghanstan 4

Moshi ukipanda angani baada ya bomu la kujitoa mhanga lililotegwa katika gari kulipuka huko Lashkar Gah katika jimbo la Helmand nchni Afghanstan leo Alhamisi January 26, 2012. WaAfghanstan 4 waliuawa na wengine 31 kujeruhiwa, amesema hayo Bwana Dawood Ahmadi msemaji wa Gavana wa jimbo hilo. Bomu hilo lililengwa kwa kikosi cha NATO kinachotoa misaada eneo hilo lakini likauwa watu wasiokusudiwa kabisa. Ugaidi haufai.

Gari lenyewe lililolipukiwa na bomu ndio hili hapa eneo la tukio

No comments: