Tuesday, January 24, 2012

Hata ulaya mazingaombwe yapo!

Wapita njia wakimshangaa msanii mwana Mazingaombwe wa kiJerumani Johan Lorbeer akining'inia hewani kwa kushika mkono wake ukutani huko Chemnitz mashariki mwa Ujerumani. Lorbeer alifanya mambo hayo wakati wa uzinduzi wa Tamasha la sanaa "Weltecho"

No comments: