Tuesday, January 24, 2012

Soma habari hii, utashangaa sana!!

Mamba huyu alimkata mkono wa kushoto msimamizi/daktari wa wanyama huko Shoushan Zoo mjini Kaohsiung, Taiwan. Mamba huyo alipigwa risasi 2 akauachia mkono na madaktari walifanikiwa kuunganisha na mwili wa daktari huyo, mamba hakufa na daktari hakufa wote wanaendelea vema. Ni kweli imetokea, duniani kuna mambo.

No comments: