Thursday, January 26, 2012

Usipoamini shauri yako! Huyo mama sio mtu ni SANAMU

Huyu mwanaume akishangaa kwa karibu sanamu iitwayo "Mama na Mtoto" huko New Delhi katika uzinduzi wa tamasha la wasanii wa India. Wenzetu wapo kiwango cha juu maana utadhani ni mtu kweli kumbe ni sanamu. Sanamu zetu Tanzania nyingi hazionyeshi mfanano na mtu waliyemkusudia, wajifunze kwa hawa wa India wanafanyaje.

Huyu nae ameamua kusogelea kwa karibu sana lakini haibadiliki kuwa mtu BADO INABAKI KUWA SANAMU TU.

No comments: