Friday, January 27, 2012

Wajishona midomo na kujikata mwilini, akina nani na kwanini?

Mfungwa wa gereza la Bishkek nchini Kyrgyzstan akiwa amejishona mdomo wake jana Akhamisi Januari 26, 2012 kupinga hali mbaya katika gereza hilo. Hali mbaya zipo karibu magereza yote duniani sio Afrika peke yake. Ukumbuke gereza unaadhibiwa ingawa pia unafundishwa mambo kadhaa.

Angalia huyu alivyojikata mikononi, ni ujasiri haswa ila hauna maana kwavile anajiumiza mwenye, je akifa hiyo hali nzuri gerezani itamsaidia nini?

Ilibidi askari wa gereza watembelee vyumbani kuna hali halisi. Duniani kuna mambo. Kuishi kwingi kuona mengi.

No comments: