Monday, June 4, 2012

ASHA BARAKA ATAMBULISHA UONGOZI MPYA TWANGA PEPETA






Mkurugenzi wa African Stars Entertainment (ASET), akitambulisha safu mpya ya uongozi wa bendi. Muddy Pizzaro anakuwa Msemaji wa bendi, Muddy K anakuwa Meneja Matukio, Omary Baraka anaendelea kuwa |Mkurugwenzi Mtendaji, Amigolas anakuwa Meneja wa Bendi, Luiza Mbutu anaendelea kuwa kiongozi wa bendi, akisaidiwa na Saleh Kupaza. Kiongozi wa wanenguaji anaendelea kuwa Maria Salome kwa wanawake na kwa wanaume anaendelea kuwa Sidy Boy. Shughuli hii imefanyika katika ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni, asubuhi hii.





Asha akiwa amezungukwa na Waandishi



Asha akizungumza na Waandishi




Amhela Msangi wa TBC kushoto akipata kitu cha supu




Waandishi wakimsikiliza kwa makini Asha




Victor wa Spoti Starehe kulia na Kambi Mbwana wa Mtanzania




Shakour wa Global na Mateja kulia




Meza kuu, wanamuziki nas viongozi




Wanenguaji wa bendi




Mkurugenzi Mtendaji, Omary Baraka kazini




Luiza na Asha



Mabosi wapya; Muddy Pizzaro kushoto na Muddy K kulia.

No comments: