Tuesday, January 31, 2012

Baridi kali yauwa watu 36 Ulaya mashariki

Baridi kali sana yenye mawingu, ukungu na barafu kali imeshauwa watu takribani 36 hadi sasa huko Ulaya mashariki, hapa ni Arosa Switerland ambapo imefikia nyuzi -15 Centigredi, ni baridi kali sna kwa kweli.

Msichana akichungulia nje ya dirisha baada ya kuweka mkono kufuta barafu huko Ukraine Ulaya mashariki

No comments: