Hapa anaweka na anakoroga sukari katika chai hio kwenye kikombe |
Hapa anaanika nguo na kuweka vibanio kwa kutumia mdomo, sijajua kama pia alizifua yeye hizo nguo au kuna mtu alimsaidia, ila we jua kwamba Mungu ni muweza! |
This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!! ---------------------------------------------------- Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Hapa anaweka na anakoroga sukari katika chai hio kwenye kikombe |
Hapa anaanika nguo na kuweka vibanio kwa kutumia mdomo, sijajua kama pia alizifua yeye hizo nguo au kuna mtu alimsaidia, ila we jua kwamba Mungu ni muweza! |
No comments:
Post a Comment