| WAKIJIANDAA KUINGIA KANISANI |
| MASHUHUDA NAO WAKIINGIA |
| EMMANUEL SAMWEL (KUSHOTO) STAFF MWENZAKE ALIKUWEPO |
| WAZAZI NA NDUGU WENGINE |
| WAZAZI NA NDUGU WENGINE |
| BWANA HARUSI (KULIA) AKIINGISINDIKIZWA NA JACKSON BENT |
| BIBI HARUSI AKIINGIA |
| MISHITA ANAHAKIKISHA KAMA NDIYE AU SIYE, ANAMFUNUA SHERA |
| ALIPOGUNDUA NDIYE AKAANZA SAFARI KUJA MADHABAHUNI |
| MCHUNGAJI ALIYEIWAKILISHA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO KUWAUNGANISHA KATIKA NDOA. JE UNAFAHAMU KWAMBA CHETI CHA NDOA NI MALI YA SERIKALI NA KWAMBA VIONGOZI WA DINI WANAAMINIWA TU? |
| WAKISIKILIZA MAELEKZO YA MCHUNGAJI KATIKA MIKAO TOFAUTI |
| STEPHEN ANAIHAKIKISHIA HADHARA KUWA HAKUNA KIZUIZI KWAKE KUMUOA MARIA |
| MARIA ANAIHAKIKISHIA HADHARA KUWA HAKUNA KIZUIZI KWAKE KUOLEWA NA STEPHEN |
| KAKA WA MARIA ALIKIRI KUMTOA DADA YAKE AOLEWE. "DADA HUYO ANAOLEWA X2 MAAAHARI, ISHATOLEWA" |
| WAKAANZA KUUNGANISHWA UNGANIKO TAKATIFU |
| STEPHEN ANAVALISHWA PETE |
| MARIA ANAVALISHWA PETE |
| "SASA NI MKE NA MUME" NA WANAOMBEWA BARAKA |
| WANAWEKA SAINI KATIKA VYETI |
| WAMEPENDEZA KWA KWELI |
| WANAKABIDHIWA VYETI VYA NDOA |
| SHAMRASHAMRA NJE YA KANISA |
| SAFARI YA KUELEKEA BUSTANINI NA UKUMBINI |
| SEHEMU YA MSOSI |
| MEZA KUU |
| MEZA ZA WAALIKWA |
| MEZA KUU |
| MATARUMBETA |
| TABASAMU PEVU |
| AMANI NA UPENDO ZITAWALE MAISHANI MWENU |
| MAWIFI WAKISEREBUKA |
| JACKSON BENT NA MKEWE WAKIINGIA UKUMBINI |
| NDUGU NA WAALIKWA WAMEJIPANGA KUWAPOKEA MAHARUSI |
| BWANA HARUSI STEPHEN ALITANGULIA |
| KISHA MKEWE MARIA AKAFUATA |
| KEKI IKAKATWA |
| WAKALISHANA |
| JACKSON BENT NA MKEWE NAO WAKALISHANA |
| NDAFU |
| NDAFU IKAKATWA |
| MR. DAVID BASHOSHO (STAFF MWENZAKE) NAE ALIKUWEPO |
| BASHOSHO NA EMMANUEL |
| HANZURUNI NA EMMANUEL |
| GERAZI, HANZURUNI NA EMMANUEL |
| HAPA WAKIFUATILIA KINACHOENDELEA |
| MSOSI TIME |
| KWA UPENDO ZAIDI |
| JACKSON BENT AKITUMBUIZA UKUMBINI |
| ZAWADI ZA WANA-UCC ARUSHA KWA MWENZAO |
No comments:
Post a Comment