Thursday, August 2, 2012

PINDA AFUNGUA MAONYESHO YA NANENANE MOROGORO

Mwenyekiti wa kundi la wajasiriamali la 'Mongo', Bi Emiliana Mtegete (wa pili kushoto, kofia nyeupe) akimzawadia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, gome la mti liitwalo 'Lubugu' kwa Kihaya, kwa ajili ya kushonea suti.  Kwa mujibu wa Mtegete, gome hilo lina thamani ya sh. 60,000.  Wa kwanza kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadiq, na wa tatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera.
Waziri Mkuu akifurahia zawadi hiyo.…

No comments: