Friday, August 3, 2012

UCC ARUSHA TUPO KATIKA MAONESHO YA NANENANE

Muonekano wa banda letu UCC-Arusha katika viwanja vya Nane Nane Themi-Njiro


Jirani zetu wauza gesi

Vodacom ndio tumegusana mbavu

Kikundi cha wamasai kutoka Longido wakitumbuiza mchana huu mbele ya jukwaa  kuu

Jirani zetu ChemiCotex watengenezaji wa WhiteDent


Ndani ya banda la UCC wanaonekana Ticha Emmanuel Samwel mtaalam wa Cisco Networking na Diploma Graduant wetu Abdallah Mungia

Wageni wengi wanatembelea banda letu kupata maelezo ya kozi na huduma mbalimb
ali tunazotoa. Picha zaidi zinafuata, endelea kufungua BLOG YETU kila baada ya muda mfupi.

No comments: