Jamaa kaingia Bar na kukuta watu wametulia wanapiga mambo yao,nae akaanza kutoa oda kwa mkwara kama ifuatavyo:-
Jamaa: "Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji,maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji."
Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,
Jamaa: "Muhudumu nipe supu na kila mutu humu ndani mupe supu maananinapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu."
Watu wakapewa supu,tena safari hii wakapiga makofi kumpongeza.
Jamaa: "Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mupe bili maana wakatinalipa bili yangu kila mutu lazima alipe yake."
Zogo lilianzia hapo.... Tabiri kilichotokea
Jamaa: "Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji,maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji."
Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,
Jamaa: "Muhudumu nipe supu na kila mutu humu ndani mupe supu maananinapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu."
Watu wakapewa supu,tena safari hii wakapiga makofi kumpongeza.
Jamaa: "Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mupe bili maana wakatinalipa bili yangu kila mutu lazima alipe yake."
Zogo lilianzia hapo.... Tabiri kilichotokea
No comments:
Post a Comment