Najua mpaka sasa utakua unafahamu kuwa beyonce kamfukuza kazi baba yake kama manager wake, lakini hicho sio kitu kibaya sasa ni kawaida kama utakuwa ulifatilia historia. anayways beyonce ametoa taarifa kuwa "namshukuru sana baba yangu kwa vyote alivyonifundisha, nimekuwa nikiwaona wote yeye pamoja na mama yangu wakimanage biashara zao wenyewe na kufanikiwa, ni baba yangu maisha na nampenda sana na nitafata nyayo zake
tetesi zimeshaanza kuzagaa kuwa Jay z na Roc Nation watachukua majukumu ya kummanage mke wake Beyonce kwa sasa. sijui lakini, ruhana na Beyonce wote kusimamiwa kazi zao na Jay z?
This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!! ---------------------------------------------------- Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Thursday, March 31, 2011
Man Walter alipaswa kushinda kama Producer Bora!!!
Nina furaha kuona sasa angalau matatizo na malalamiko yanapungua katika tunzo hizo. Lakini kuna jipya limejitokeza, ni vipi Man Water akose tunzo? ilihali msanii alimtengenezea albam nzima kashinda tano?
Hapa pana tatizo na ni vema mwaka kesho lisijitokeze tena. Kama mwana akademi naelewa kivipi hili limetokea, lakini napenda kupendekeza mwaka kesho ikitokea msanii mmoja kashinda tunzo tatu au zaidi na nyimbo hizo tatu kama kafanyiwa na mtayarishaji mmoja basi automatically mtayarishaji husika apewe tunzo ya mtayarishaji bora.
Na ikitokea wametokea wasanii zaidi ya wawili wamepata tunzo 3 basi watarishaji hao washindanishwe apatikane mmoja wa kupata tunzo hiyo ya mtayarishaji bora. Yote na yote kwa vyovyote Water anajisikia kama ni mshindi wa tunzo ya mtayarishaji bora wa muziki, na mimi ningekuwa ndiye niliyepwa tunzo hiyo ningempa Water
Hapa pana tatizo na ni vema mwaka kesho lisijitokeze tena. Kama mwana akademi naelewa kivipi hili limetokea, lakini napenda kupendekeza mwaka kesho ikitokea msanii mmoja kashinda tunzo tatu au zaidi na nyimbo hizo tatu kama kafanyiwa na mtayarishaji mmoja basi automatically mtayarishaji husika apewe tunzo ya mtayarishaji bora.
Na ikitokea wametokea wasanii zaidi ya wawili wamepata tunzo 3 basi watarishaji hao washindanishwe apatikane mmoja wa kupata tunzo hiyo ya mtayarishaji bora. Yote na yote kwa vyovyote Water anajisikia kama ni mshindi wa tunzo ya mtayarishaji bora wa muziki, na mimi ningekuwa ndiye niliyepwa tunzo hiyo ningempa Water
GARI INAUZWA!
TANGAZO KWA WADAU WOTE, GARI INAUZWA, KAMA MNAVYOIONA, IKO KATIKA HALI NZURI, INATEMBEA, FULL AC, FULL MZIKI NA INA UWEZO WA KUBEBA HADI TANI 3 ZA NDIZI MBICHI. ILI KUIONA NA KUJUA BEI, FIKO ROMBO MJINI....!
KAROTI; KINGA DHIDI YA SARATANI UGONJWA WA MOYO
Kama karoti imestawishwa kwa kutumia madawa ya mimea na mbolea au kama huna uhakika na usafi wake, ni vizuri ukwangue maganda yake ya juu na kuyaondoa. Unaweza kuamua kukata vipande virefu au vya mviringo, kukata na mashine maalum vipande vidogo vidogo au kula nzima nzima.
Karoti ni tamu vyovyote utakavyoamua kuila, iwe mbichi au iliyochemshwa. Ingawa kula karoti mbichi ni bora zaidi, lakini hata ukila iliyopikwa bado haipotezi virutubisho vyake, zaidi inaelezwa kuwa, kambalishe, virutubisho pamoja na sukari yake inapatikana kirahisi na hivyo kuifanya kuwa tamu.
Jambo la kuzingatia kama ukiamua kuipika, usiipike sana, bali inatakiwa kuchemshwa au kupikwa kwa muda mfupi ili virutubisho vyake visipungue au kupotea kabisa.
DONDOO ZA KUTENGENEZA KAROTI
Unaweza kuitengeneza karoti kama unavyotaka ili kupata ladha tofauti bila kupoteza virutubisho vyake. Unaweza, kwa mfano, kutengeneza saladi ya karoti kwa kuchanganya na majani yake kwa kukatakata vipande.
Aidha, unaweza kutengeneza saladi kwa kukata vipande vidogo vidogo kisha kuchanganya tufaha na matango na kula pamoja kwenye mlo wako wa siku kama kachumbari.
Unaweza kutengeneza supu ya karoti kwa kuchemsha vipande vyake na nyanya. Chukua karoti na nyanya ulizochemsha, kisha weka kwenye ‘blender’ au chombo kingine unachoweza kusagia. Saga mchanganyiko huo ili kupata supu, unaweza kuongeza viungo vingine ili kupata ladha. Unaweza pia kuinywa ikiwa ya moto au ikiwa imepoa.
Kinywaji kingine unachoweza kutengeneza kwa afya yako ni juisi ya karoti, ‘soymilk’ na ndizi mbivu. Tengeneza nusu glasi ya juisi ya karoti, chukua glasi moja ya soymilk na ndizi mbivu moja kisha changanya kwa kutumia ‘blender’. Kama huna changanya kwa kutumia kijiko au mwiko na kupata ‘milk shake’ ya ukweli.
KAROTI IKIZIDI MWILINI
Ingawa siyo rahisi kutokea lakini inawezekana kuna watu matumizi ya mboga hii kwao yako juu. Karoti ikizidi mwilini, huweza kumfanya mtu aonekane ‘wa njano’, hasa katika sehemu za viganja vya mikono, nyayo za miguu na nyuma ya masikio. Kitaalamu hali hii hujulikana kama ‘carotoderma’.
Hata hivyo, hali hiyo hutoweka pale mtu huyo anapopunguza ulaji wa karoti au vyakula vingine vyenye kiwango kikubwa cha virutubisho vya ‘carotene’ na hakuna madhara mengine anayoweza kuyapata.
Mwisho, katika nchi za Asia, ambako ndiko karoti inaelezwa kuanzia, inaaminika pia kuwa na uwezo wa kurekebisha masuala ya nguvu za kiume na ukosefu wa hamu ya kufanya mapenzi (sexual dysfunction & sexual drive).
Pia karoti inaaminika kuimarisha ufanisi wa figo na kuondoa hewa chafu na baridi mwilini. Baada ya kujua faida za karoti, bila shaka kuanzia leo umepata sababu ya kuiangalia upya karoti kama ‘mzizi’ muhimu kwa afya yako
Karoti ni tamu vyovyote utakavyoamua kuila, iwe mbichi au iliyochemshwa. Ingawa kula karoti mbichi ni bora zaidi, lakini hata ukila iliyopikwa bado haipotezi virutubisho vyake, zaidi inaelezwa kuwa, kambalishe, virutubisho pamoja na sukari yake inapatikana kirahisi na hivyo kuifanya kuwa tamu.
Jambo la kuzingatia kama ukiamua kuipika, usiipike sana, bali inatakiwa kuchemshwa au kupikwa kwa muda mfupi ili virutubisho vyake visipungue au kupotea kabisa.
DONDOO ZA KUTENGENEZA KAROTI
Unaweza kuitengeneza karoti kama unavyotaka ili kupata ladha tofauti bila kupoteza virutubisho vyake. Unaweza, kwa mfano, kutengeneza saladi ya karoti kwa kuchanganya na majani yake kwa kukatakata vipande.
Aidha, unaweza kutengeneza saladi kwa kukata vipande vidogo vidogo kisha kuchanganya tufaha na matango na kula pamoja kwenye mlo wako wa siku kama kachumbari.
Unaweza kutengeneza supu ya karoti kwa kuchemsha vipande vyake na nyanya. Chukua karoti na nyanya ulizochemsha, kisha weka kwenye ‘blender’ au chombo kingine unachoweza kusagia. Saga mchanganyiko huo ili kupata supu, unaweza kuongeza viungo vingine ili kupata ladha. Unaweza pia kuinywa ikiwa ya moto au ikiwa imepoa.
Kinywaji kingine unachoweza kutengeneza kwa afya yako ni juisi ya karoti, ‘soymilk’ na ndizi mbivu. Tengeneza nusu glasi ya juisi ya karoti, chukua glasi moja ya soymilk na ndizi mbivu moja kisha changanya kwa kutumia ‘blender’. Kama huna changanya kwa kutumia kijiko au mwiko na kupata ‘milk shake’ ya ukweli.
KAROTI IKIZIDI MWILINI
Ingawa siyo rahisi kutokea lakini inawezekana kuna watu matumizi ya mboga hii kwao yako juu. Karoti ikizidi mwilini, huweza kumfanya mtu aonekane ‘wa njano’, hasa katika sehemu za viganja vya mikono, nyayo za miguu na nyuma ya masikio. Kitaalamu hali hii hujulikana kama ‘carotoderma’.
Hata hivyo, hali hiyo hutoweka pale mtu huyo anapopunguza ulaji wa karoti au vyakula vingine vyenye kiwango kikubwa cha virutubisho vya ‘carotene’ na hakuna madhara mengine anayoweza kuyapata.
Mwisho, katika nchi za Asia, ambako ndiko karoti inaelezwa kuanzia, inaaminika pia kuwa na uwezo wa kurekebisha masuala ya nguvu za kiume na ukosefu wa hamu ya kufanya mapenzi (sexual dysfunction & sexual drive).
Pia karoti inaaminika kuimarisha ufanisi wa figo na kuondoa hewa chafu na baridi mwilini. Baada ya kujua faida za karoti, bila shaka kuanzia leo umepata sababu ya kuiangalia upya karoti kama ‘mzizi’ muhimu kwa afya yako
Wednesday, March 30, 2011
Libeneke la kikombe kama cha BABU pia kipoTabora kwa dada
Mkuu wa mkoa wa Tabora Mh. Abeid Mwinyimsa na Kamanda wa Polisi mkoani humo Afande Barlow wakiangalia kwa makini utoaji wa tiba unakofanywa na Dada Margareth Mutalemwa huko Urban Centre 'uzunguni' Tabora
Mkuu wa mkoa akiwa na wakuu wa ulinzi na usalama wa Tabora eneo la tukio
Askari polisi akiombewa kabla ya kupata dozi
Picha na Habari na Mkala Fundikira
(pichani Mkala Fundikira akiwa na Dada Magreth) wa Keronyingi blog
Baada ya kumaliza kutoa dawa kwa watu waliokwenda kwake tangu saa kumi alfajiri,jioni hii nilipata nafasi ya kumhoji Magreth Mutalemwa (40) mwenye Mume na watoto wanne,na mahojiano yetu yalikuwa kama ifuatavyo:
Keronyingi- Dada pole na kazi, unaitwa nani?Magreth- Asante, naitwa Magreth MutalemwaKeronyingi- Unaweza ukaniambia pana nini hapa kwako mpaka watu wamejaa kiasi hiki?Magreth- Mimi hapa natoa huduma ya majiKeronyingi- Huduma ya maji kivipi?Magreth- Nawapa watu wanaokuja hapa huduma ya kikombe cha majiKeronyingi- Ili kiwasaidie nini?Magreth- Kinawatibu magonjwa wale wote wenye kusumbuliwa na magonjwa mbali mbaliKeronyingi- Ni tangu lini na vipi wewe umejua unaweza kutibu watu?Magreth- Tangu tarehe 21/March/2011Keronyingi- Enhe nieleze ilikuaje?Magreth- Nilikuwa nikipata msukumo baada ya kuoteshwa kabla ya tarehe 21 na kuidharau ndoto ile nilianza kupata matatizo lakini baada ya kuanza kufanya yale niliyotakiwa kufanya matatizo yakaisha ndio mpaka leo natibu watu.Keronyingi- Dawa yako ina mchanganyiko wa vitu gani?Magreth- Ni mti mmoja tu, ambao nauchemsha na kuwapa watu wanywe.Keronyingi- Je umepata kuwasikia watu wengine wanaotoa tiba kama wewe ambao ni Mchungaji Mwasapila, Babu dogo wa Mbeya?Magreth- Ndio mimewasikiaKeronyingi- Unawazungumziaje?Magreth- Ah ninavyoona mimi huu ni uwezo wa Mwenyezi Mungu tu, kwani katika uoteshwaji wangu nakumbuka sauti iliniambia tupo watatu na tumetunukiwa roho safi kufanya shuhuli hii ya kutoa tiba. Kwa hiyo naamini hao ni wawili na mimi ni wa tatu na ndio tuliotunukiwa.Keronyingi- Pole kwa kazi na nashukuru sanaMagreth- Asante, karibu tena.
Mpendwa mdau nataraji kuendelea kukuletea habari toka kwa Magreth Mutalemwa mpaka nitakaporejea jijini Dar. Endelea kufutilia maendeleo ya dada na tiba yake toka urban quarter, Uzunguni,Tabora
Mkuu wa mkoa akiwa na wakuu wa ulinzi na usalama wa Tabora eneo la tukio
Askari polisi akiombewa kabla ya kupata dozi
Picha na Habari na Mkala Fundikira
(pichani Mkala Fundikira akiwa na Dada Magreth) wa Keronyingi blog
Baada ya kumaliza kutoa dawa kwa watu waliokwenda kwake tangu saa kumi alfajiri,jioni hii nilipata nafasi ya kumhoji Magreth Mutalemwa (40) mwenye Mume na watoto wanne,na mahojiano yetu yalikuwa kama ifuatavyo:
Keronyingi- Dada pole na kazi, unaitwa nani?Magreth- Asante, naitwa Magreth MutalemwaKeronyingi- Unaweza ukaniambia pana nini hapa kwako mpaka watu wamejaa kiasi hiki?Magreth- Mimi hapa natoa huduma ya majiKeronyingi- Huduma ya maji kivipi?Magreth- Nawapa watu wanaokuja hapa huduma ya kikombe cha majiKeronyingi- Ili kiwasaidie nini?Magreth- Kinawatibu magonjwa wale wote wenye kusumbuliwa na magonjwa mbali mbaliKeronyingi- Ni tangu lini na vipi wewe umejua unaweza kutibu watu?Magreth- Tangu tarehe 21/March/2011Keronyingi- Enhe nieleze ilikuaje?Magreth- Nilikuwa nikipata msukumo baada ya kuoteshwa kabla ya tarehe 21 na kuidharau ndoto ile nilianza kupata matatizo lakini baada ya kuanza kufanya yale niliyotakiwa kufanya matatizo yakaisha ndio mpaka leo natibu watu.Keronyingi- Dawa yako ina mchanganyiko wa vitu gani?Magreth- Ni mti mmoja tu, ambao nauchemsha na kuwapa watu wanywe.Keronyingi- Je umepata kuwasikia watu wengine wanaotoa tiba kama wewe ambao ni Mchungaji Mwasapila, Babu dogo wa Mbeya?Magreth- Ndio mimewasikiaKeronyingi- Unawazungumziaje?Magreth- Ah ninavyoona mimi huu ni uwezo wa Mwenyezi Mungu tu, kwani katika uoteshwaji wangu nakumbuka sauti iliniambia tupo watatu na tumetunukiwa roho safi kufanya shuhuli hii ya kutoa tiba. Kwa hiyo naamini hao ni wawili na mimi ni wa tatu na ndio tuliotunukiwa.Keronyingi- Pole kwa kazi na nashukuru sanaMagreth- Asante, karibu tena.
Mpendwa mdau nataraji kuendelea kukuletea habari toka kwa Magreth Mutalemwa mpaka nitakaporejea jijini Dar. Endelea kufutilia maendeleo ya dada na tiba yake toka urban quarter, Uzunguni,Tabora
Friday, March 25, 2011
Msiba Mzito
Timu ya Ijumaa, Dar na Morogoro
Ikiwa ni siku nne tu tangu ulipotokea msiba mkubwa wa wanamuziki 13 wa Bendi ya Taarab ya Five Stars ya jijini Dar es Salaam, nyuma ya tukio hilo yameibuka mambo mazito ya kusikitisisha, Ijumaa lina ‘pakeji’ kamili.
Katika tukio hilo baya, wanamuziki hao wakiwa ndani ya gari aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T 351 BGE, Machi 21, mwaka huu saa tatu usiku wakitokea Kyela, Mbeya, walipofika eneo la Mikumi, Morogoro, gari lao lililivaa lori aina ya Fuso lililokuwa limebeba mbao na kusababisha vifo hivyo papo hapo.
Wanamuziki waliopoteza maisha eneo la tukio ni pamoja na Issa Hassan ‘Kijoti’ (M’chumu), Husna Mapande, Sheba Juma, Omary Hashim, Hamisa Mussa, Ramadhan Maheza’Kinyoya’, Omary ‘Tall’, Hajji Mdahaniwa, Samir Maulid, Hassan Ngereza, Maimuna Makuka ‘Kisosi’ wa Kundi la Kitu Tigo, Hajji Babu na Tizo Mgunda.
Walionusurika ni Ali Juma ‘Ali J’, Mwanahawa Ali, Suzane Benedict, Rajab Juma, Issa Kamongo, Mwanahawa, Mifupa na Hammer Q.
Nyuma ya vifo hivyo inaelezwa kwamba kuna mambo mengi yaliyogubika tukio hilo kama ifuatavyo;
SIRI YA AJALI YAFICHUKA
Kwa mujibu wa mashuhuda waliofika eneo la ajali muda mfupi baada ya tukio hilo, chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Coaster ambaye hakuwa makini katika kulipita lori lililoegeshwa pembeni likiwa na viashiria vyote vya barabani.
Ilidaiwa kwamba, wakati anataka ‘kuliovateki’ lori hilo lililojaza mbao, ndipo alipokutana uso kwa uso na gari lingine aina ya Toyota Canter lakini katika jitihada za dereva kurudi upande wake ndipo akalivaa lori hilo.
WALITABIRI VIFO VYAO
Katika hali ya kushangaza, Ijumaa limemwagiwa data kuwa, baadhi ya wanamuziki waliopoteza maisha walitabiri vifo vyao.
Ishara hizo walizozionesha wanamuziki hao siku chache kabla ya tukio hilo, ziliwekwa kweupe na ndugu zao katika mahojiano maalum na waandishi wetu kwenye Ukumbi wa Equator Grill, Temeke Dar unaotumiwa na kundi hilo siku ya Jumanne Machi 22, mwaka huu wakati wa kuaga miili ya marehemu.
Waliopata nafasi ya kueleza kauli za mwisho za marehemu hao ni pamoja na ndugu wa Issa Kijoti, Tizo Mgunda, Hamisa Musa, Maimuna Makuka na Husna Mapande.
Akizungumzia kauli ya mwisho aliyoitoa Issa Kijoti kabla ya kwenda safarini Kyela, Mbeya, shangazi wa mwanamuziki huyo ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini alikuwa na haya ya kusema:
“Nakumbuka kabla ya kusafiri alimfuata mama yake akamuomba amuoshe miguu kwa sababu alikuwa anakwenda safari ya mbali.
“Alimwambia ‘Mama, safari ninayokwenda ni ya mbali sana na bado mimi ni mtoto wako.’”
Aidha, shangazi huyo aliongeza kuwa, baada ya Kijoti kutoa ombi hilo, mama yake alimuosha miguu na kumpa baraka ndipo akaondoka na hakufanikiwa kurudi akiwa hai.
Kwa upande wake jirani wa marehemu Tizo aliyetambulisha kwa jina la Ashura Abdallah alisema: “Siku alipokuwa anasafiri aliniambia hakujisikia kabisa kusafiri lakini alilazimika kufanya hivyo kwa sababu ilikuwa safari ya kikazi.”
“Roho yake ilikuwa nzito sana, alihisi safari ingekuwa mbaya.”
Kwa upande wake rafiki wa karibu wa marehemu Hamisa Mipango aliyejitambulisha kwa jina moja la Ashura alisema: “Nakumbuka Hamisa hakuwa amejipanga vizuri kwa ajili ya safari, alikuwa anasitasita.”
Naye jirani wa marehemu Husna Mapande alisema: “Siku ya safari alinifuata akaniaga kuwa anakwenda safari lakini katika mazungumzo yetu aliniambia alitamani sana kuvaa nguo mpya, alimwita mtoto wake mmoja na kumuaga kuwa anakwenda safari.”
Baba mzazi wa marehemu Maimuna Makuka, mzee Bakari Mohamed akielezea kauli ya mwisho ya binti yake mara tu baada ya kupata ajali, alikuwa na haya ya kusema:
“Maimuna alinipigia simu wakati anapelekwa hospitalini, alinieleza kuwa amepata ajali na wenzake. Aliniambia hakuwahi kukutana na tukio kama hilo hivyo alihisi anakufa, alipofikishwa hospitalini akafariki.”
Hadija Kopa naye chupu chupu
Malkia wa mipasho nchini, Khadija Omar Kopa amesema kuwa Mungu ndiye amemnusuru na ajali iliyoua wanamuziki 13 wa Kundi la Five Stars Modern Taarab, vinginevyo naye angekuwa marehemu.
Kopa aliliambia gazeti hili mapema wiki hii kuwa, alitakiwa kuwemo kwenye msafara wa kundi hilo kwenye ziara zake za Mikumi na Iringa lakini alitofautiana na mapromota kwa upande wa masilahi.
“Kimsingi tungekubaliana katika masilahi, bila shaka ningekuwemo kwenye ajali na leo hii pengine ningekuwa marehemu. Nawasikitikia ndugu zangu waliokufa, pia namshukuru Mungu kwa kuniepusha na ajali,” alisema Kopa.
Mzee Yusuf alilia bifu lake na Issa Kijoti
Mkurugezi wa Kundi la Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf ‘Mfalme’ amesema kuwa kifo cha mwimbaji wa Kundi la Five Stars Modern Taarab, Issa Musa ‘Kijoti’, kinamuumiza moyo wake kwani kimetokea kabla hawajamaliza tofauti zao.
Mzee aliliambia Ijumaa katikati ya wiki hii kuwa, tangu Issa Kijoti ahame Jahazi na kujiunga na Five Stars hakuwahi kukutana naye wala kusalimiana naye kwa njia ya simu, hivyo inamuuma mno.
“Kifo hiki kinaniumiza sana kwani nahisi atakuwa amekufa na kinyongo lakini mimi nimemsamehe kwa yote yaliyotokea,” alisema Mzee huku akifuta machozi.
Isha Mashauzi, Hadija Yusuf wazimia
Waimbaji wa taarab kutoka Kundi la Jahazi Modern, Isha Ramadhan na Hadija Yusuf wamejikuta wakizimia kwa uchungu kufuatia kuondokewa na wenzao waliopata ajali ya gari siku ya Jumatatu wakiwa wanatoka Kyela Mbeya kwenda Dar es Salaam.
Waandishi wetu walifika katika maskani ya Kundi la Five Stars, Equator Grill, Temeke ambapo waombolezaji walikusanyika kwa lengo la kuwaaga marehemu na kushuhudia wasanii hao wakiwa katika hali hiyo.
Miili ya marehemu ilipowasili saa moja usiku, wasanii waliokuwepo walikatisha mazungumzo na kuanza kulia ambapo Isha alimwaga machozi huku akiwataja kwa majina marehemu.
Ghafla mwanadada huyo alipoteza fahamu na kutoa kibarua kizito kwa wenzake kumpepea kabla ya kurejea katika hali yake ya kawaida.
Wakati Isha akipewa huduma ya kwanza, Khadija Yusuf naye akijikuta akidondoka kwenye kiti kwa uchungu na kuzimia papo hapo ambapo kazi ya kumweka sawa ilikuwa kwa wifi yake, Leilah ambaye alikuwa karibu yake.
Waimbaji hao walipozinduka kwa wakati tofauti, walikuta baadhi ya miili ya marehemu imeshaondolewa kwa ajili ya mazishi yaliyofanyika usiku wa Jumanne.
Ikiwa ni siku nne tu tangu ulipotokea msiba mkubwa wa wanamuziki 13 wa Bendi ya Taarab ya Five Stars ya jijini Dar es Salaam, nyuma ya tukio hilo yameibuka mambo mazito ya kusikitisisha, Ijumaa lina ‘pakeji’ kamili.
Katika tukio hilo baya, wanamuziki hao wakiwa ndani ya gari aina ya Toyota Coaster lenye namba za usajili T 351 BGE, Machi 21, mwaka huu saa tatu usiku wakitokea Kyela, Mbeya, walipofika eneo la Mikumi, Morogoro, gari lao lililivaa lori aina ya Fuso lililokuwa limebeba mbao na kusababisha vifo hivyo papo hapo.
Wanamuziki waliopoteza maisha eneo la tukio ni pamoja na Issa Hassan ‘Kijoti’ (M’chumu), Husna Mapande, Sheba Juma, Omary Hashim, Hamisa Mussa, Ramadhan Maheza’Kinyoya’, Omary ‘Tall’, Hajji Mdahaniwa, Samir Maulid, Hassan Ngereza, Maimuna Makuka ‘Kisosi’ wa Kundi la Kitu Tigo, Hajji Babu na Tizo Mgunda.
Walionusurika ni Ali Juma ‘Ali J’, Mwanahawa Ali, Suzane Benedict, Rajab Juma, Issa Kamongo, Mwanahawa, Mifupa na Hammer Q.
Nyuma ya vifo hivyo inaelezwa kwamba kuna mambo mengi yaliyogubika tukio hilo kama ifuatavyo;
SIRI YA AJALI YAFICHUKA
Kwa mujibu wa mashuhuda waliofika eneo la ajali muda mfupi baada ya tukio hilo, chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Coaster ambaye hakuwa makini katika kulipita lori lililoegeshwa pembeni likiwa na viashiria vyote vya barabani.
Ilidaiwa kwamba, wakati anataka ‘kuliovateki’ lori hilo lililojaza mbao, ndipo alipokutana uso kwa uso na gari lingine aina ya Toyota Canter lakini katika jitihada za dereva kurudi upande wake ndipo akalivaa lori hilo.
WALITABIRI VIFO VYAO
Katika hali ya kushangaza, Ijumaa limemwagiwa data kuwa, baadhi ya wanamuziki waliopoteza maisha walitabiri vifo vyao.
Ishara hizo walizozionesha wanamuziki hao siku chache kabla ya tukio hilo, ziliwekwa kweupe na ndugu zao katika mahojiano maalum na waandishi wetu kwenye Ukumbi wa Equator Grill, Temeke Dar unaotumiwa na kundi hilo siku ya Jumanne Machi 22, mwaka huu wakati wa kuaga miili ya marehemu.
Waliopata nafasi ya kueleza kauli za mwisho za marehemu hao ni pamoja na ndugu wa Issa Kijoti, Tizo Mgunda, Hamisa Musa, Maimuna Makuka na Husna Mapande.
Akizungumzia kauli ya mwisho aliyoitoa Issa Kijoti kabla ya kwenda safarini Kyela, Mbeya, shangazi wa mwanamuziki huyo ambaye hakupenda jina lake lichorwe gazetini alikuwa na haya ya kusema:
“Nakumbuka kabla ya kusafiri alimfuata mama yake akamuomba amuoshe miguu kwa sababu alikuwa anakwenda safari ya mbali.
“Alimwambia ‘Mama, safari ninayokwenda ni ya mbali sana na bado mimi ni mtoto wako.’”
Aidha, shangazi huyo aliongeza kuwa, baada ya Kijoti kutoa ombi hilo, mama yake alimuosha miguu na kumpa baraka ndipo akaondoka na hakufanikiwa kurudi akiwa hai.
Kwa upande wake jirani wa marehemu Tizo aliyetambulisha kwa jina la Ashura Abdallah alisema: “Siku alipokuwa anasafiri aliniambia hakujisikia kabisa kusafiri lakini alilazimika kufanya hivyo kwa sababu ilikuwa safari ya kikazi.”
“Roho yake ilikuwa nzito sana, alihisi safari ingekuwa mbaya.”
Kwa upande wake rafiki wa karibu wa marehemu Hamisa Mipango aliyejitambulisha kwa jina moja la Ashura alisema: “Nakumbuka Hamisa hakuwa amejipanga vizuri kwa ajili ya safari, alikuwa anasitasita.”
Naye jirani wa marehemu Husna Mapande alisema: “Siku ya safari alinifuata akaniaga kuwa anakwenda safari lakini katika mazungumzo yetu aliniambia alitamani sana kuvaa nguo mpya, alimwita mtoto wake mmoja na kumuaga kuwa anakwenda safari.”
Baba mzazi wa marehemu Maimuna Makuka, mzee Bakari Mohamed akielezea kauli ya mwisho ya binti yake mara tu baada ya kupata ajali, alikuwa na haya ya kusema:
“Maimuna alinipigia simu wakati anapelekwa hospitalini, alinieleza kuwa amepata ajali na wenzake. Aliniambia hakuwahi kukutana na tukio kama hilo hivyo alihisi anakufa, alipofikishwa hospitalini akafariki.”
Hadija Kopa naye chupu chupu
Malkia wa mipasho nchini, Khadija Omar Kopa amesema kuwa Mungu ndiye amemnusuru na ajali iliyoua wanamuziki 13 wa Kundi la Five Stars Modern Taarab, vinginevyo naye angekuwa marehemu.
Kopa aliliambia gazeti hili mapema wiki hii kuwa, alitakiwa kuwemo kwenye msafara wa kundi hilo kwenye ziara zake za Mikumi na Iringa lakini alitofautiana na mapromota kwa upande wa masilahi.
“Kimsingi tungekubaliana katika masilahi, bila shaka ningekuwemo kwenye ajali na leo hii pengine ningekuwa marehemu. Nawasikitikia ndugu zangu waliokufa, pia namshukuru Mungu kwa kuniepusha na ajali,” alisema Kopa.
Mzee Yusuf alilia bifu lake na Issa Kijoti
Mkurugezi wa Kundi la Jahazi Modern Taarab, Mzee Yusuf ‘Mfalme’ amesema kuwa kifo cha mwimbaji wa Kundi la Five Stars Modern Taarab, Issa Musa ‘Kijoti’, kinamuumiza moyo wake kwani kimetokea kabla hawajamaliza tofauti zao.
Mzee aliliambia Ijumaa katikati ya wiki hii kuwa, tangu Issa Kijoti ahame Jahazi na kujiunga na Five Stars hakuwahi kukutana naye wala kusalimiana naye kwa njia ya simu, hivyo inamuuma mno.
“Kifo hiki kinaniumiza sana kwani nahisi atakuwa amekufa na kinyongo lakini mimi nimemsamehe kwa yote yaliyotokea,” alisema Mzee huku akifuta machozi.
Isha Mashauzi, Hadija Yusuf wazimia
Waimbaji wa taarab kutoka Kundi la Jahazi Modern, Isha Ramadhan na Hadija Yusuf wamejikuta wakizimia kwa uchungu kufuatia kuondokewa na wenzao waliopata ajali ya gari siku ya Jumatatu wakiwa wanatoka Kyela Mbeya kwenda Dar es Salaam.
Waandishi wetu walifika katika maskani ya Kundi la Five Stars, Equator Grill, Temeke ambapo waombolezaji walikusanyika kwa lengo la kuwaaga marehemu na kushuhudia wasanii hao wakiwa katika hali hiyo.
Miili ya marehemu ilipowasili saa moja usiku, wasanii waliokuwepo walikatisha mazungumzo na kuanza kulia ambapo Isha alimwaga machozi huku akiwataja kwa majina marehemu.
Ghafla mwanadada huyo alipoteza fahamu na kutoa kibarua kizito kwa wenzake kumpepea kabla ya kurejea katika hali yake ya kawaida.
Wakati Isha akipewa huduma ya kwanza, Khadija Yusuf naye akijikuta akidondoka kwenye kiti kwa uchungu na kuzimia papo hapo ambapo kazi ya kumweka sawa ilikuwa kwa wifi yake, Leilah ambaye alikuwa karibu yake.
Waimbaji hao walipozinduka kwa wakati tofauti, walikuta baadhi ya miili ya marehemu imeshaondolewa kwa ajili ya mazishi yaliyofanyika usiku wa Jumanne.
Kiuno cha Lulu katika FACEBOOK!!!
Msanii anayefanya vizuri kwenye filamu lakini asiyekaukiwa na skendo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani) hivi karibuni amekinadi kiuno chake na kudai kuwa kinadatisha watu.
Akizungumza na Ijumaa baada ya kuitundika picha yake kwenye ukurasa wake wa ‘facebook’ ikionesha sehemu hiyo ya mwili wake, Lulu alisema kuwa yeye ni mzuri na anaamini anawachanganya wengi hivyo hakuona haya kuwadhihirishia mashabiki wake.
Sambamba na picha hiyo msanii huyo anayedaiwa kuwa ni ‘sidanganyiki’ aliandika ujumbe unaosema kuwa, kiuno hicho kampa mama yake na wala watu wasidhani kwamba ni cha Kichina.
“Mi ni mzuri na naringia umbo langu hivyo ili kuwathibitishia watu ndiyo maana nikaamua kuiweka picha hiyo kwenye ukurasa wangu,” alisema Lulu.
Hata hivyo, baadhi ya watu walioiona picha hiyo walisema kuwa, wanashangazwa na mambo anayofanya binti huyo hasa ukizingatia kwamba umri wake bado ni mdogo.
“Hivi kwa mtoto mdogo kama huyu kukinadi kiuno chake kuna maana gani kama siyo kutaka kuwafanya watu wamfikirie tofauti? Kimsingi wazazi wake wanatakiwa kuchukua hatua za haraka kumnusuru la sivyo maisha yake yatakuwa yenye matatizo,” alisema mdau mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Mama Siwema.
Akizungumza na Ijumaa baada ya kuitundika picha yake kwenye ukurasa wake wa ‘facebook’ ikionesha sehemu hiyo ya mwili wake, Lulu alisema kuwa yeye ni mzuri na anaamini anawachanganya wengi hivyo hakuona haya kuwadhihirishia mashabiki wake.
Sambamba na picha hiyo msanii huyo anayedaiwa kuwa ni ‘sidanganyiki’ aliandika ujumbe unaosema kuwa, kiuno hicho kampa mama yake na wala watu wasidhani kwamba ni cha Kichina.
“Mi ni mzuri na naringia umbo langu hivyo ili kuwathibitishia watu ndiyo maana nikaamua kuiweka picha hiyo kwenye ukurasa wangu,” alisema Lulu.
Hata hivyo, baadhi ya watu walioiona picha hiyo walisema kuwa, wanashangazwa na mambo anayofanya binti huyo hasa ukizingatia kwamba umri wake bado ni mdogo.
“Hivi kwa mtoto mdogo kama huyu kukinadi kiuno chake kuna maana gani kama siyo kutaka kuwafanya watu wamfikirie tofauti? Kimsingi wazazi wake wanatakiwa kuchukua hatua za haraka kumnusuru la sivyo maisha yake yatakuwa yenye matatizo,” alisema mdau mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Mama Siwema.
Mahaba ya Wema na Diamond yazidi kunoga!!
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’ (pichani) na Miss Tanzania 2006-07 ambaye pia ni msanii wa filamu Bongo, Wema Isack Sepetu hivi karibuni wamenaswa wakichezeana kimahaba.
Picha ya wawili hao ambao wanadaiwa ni ‘lovers’ ilinaswa mtandaoni huku ikimuonesha Wema akiwa amemlalia kifuani Diamond kwa staili ya kudeka.
Aidha, picha hiyo inamuonesha Diamond akiwa ameingiza kidole chake kwenye sikio la Wema, hali iliyomfanya mlimbwende huyo apate msisimko na kujikuta akisinzia.
Baadhi ya wadau walioiona picha hiyo walisifia muonekano wa wawili hao huku wakisema kuwa, wana vigezo vya kuwa Mr. na Mrs.
“Wamependezana si utani, wana kila kigezo cha kuwa mke na mume ila wasiwasi wangu ni kama watadumu, Wema amekuwa hatulii na mwanaume mmoja kwa muda mrefu labda kama sasa kaoza kwa Sharabaro,” alisema Miriam wa Sinza jijini Dar es Salaam.
Wema na Diamond wanatajwa kuwa ni wapenzi ambao wamekuwa wakionekana sehemu mbalimbali wakijiachia kwa raha zao.
Picha ya wawili hao ambao wanadaiwa ni ‘lovers’ ilinaswa mtandaoni huku ikimuonesha Wema akiwa amemlalia kifuani Diamond kwa staili ya kudeka.
Aidha, picha hiyo inamuonesha Diamond akiwa ameingiza kidole chake kwenye sikio la Wema, hali iliyomfanya mlimbwende huyo apate msisimko na kujikuta akisinzia.
Baadhi ya wadau walioiona picha hiyo walisifia muonekano wa wawili hao huku wakisema kuwa, wana vigezo vya kuwa Mr. na Mrs.
“Wamependezana si utani, wana kila kigezo cha kuwa mke na mume ila wasiwasi wangu ni kama watadumu, Wema amekuwa hatulii na mwanaume mmoja kwa muda mrefu labda kama sasa kaoza kwa Sharabaro,” alisema Miriam wa Sinza jijini Dar es Salaam.
Wema na Diamond wanatajwa kuwa ni wapenzi ambao wamekuwa wakionekana sehemu mbalimbali wakijiachia kwa raha zao.
Imani yako ITAKUPONYA
WAGONJWA kadhaa waliokunywa dawa ya Mchungaji Ambilikile Masapila (pichani), wamemuaibisha babu huyo kwa kudai kuwa hawajapona maradhi yao baada ya kupata kikombe.
Wagonjwa hao waliozungumza na gazeti hili juzikati, walisema ni zaidi ya siku saba sasa baada ya kupata kikombe cha babu lakini hali zao kiafya bado mbaya.
“Nilikunywa dawa ya babu siku kumi zilizopita, sijapata nafuu ya ugonjwa wangu wa kisukari,” alisema Sudi Makwa aliyejitambulisha kuwa ni mkazi wa Mikocheni B jijini Dar es Salaam.
Akisimulia jinsi alivyofanikiwa kunywa dawa ya babu, Makwa alisema alipata lifti ya mzito mmoja (hakumtaja jina) na walipofika Kijiji cha Samunge walipenyezwa na askari, hivyo kufanikuwa kupata dawa.
“Mimi nilipofika Arusha nilikodi pikipiki, ilikuwa rahisi kwangu kumfikia babu kwani tulipenya na nikanywa dawa lakini sijapata nafuu,” alisema Makwa.
Madai kama hayo yalitolewa na wanawake wawili maarufu mjini hapa walioomba majina yao kuhifadhiwa ambao walidai kuwa, walipenya katika foleni kutokana na kujulikana kwao lakini walisisitiza kuwa hawajapona magonjwa yanayowasumbua.
Naye Jerome Mpondwa, mkazi wa Sinza Mori, Dar alisema alikwenda kwa babu zaidi ya siku 15 zilizopita na kunywa dawa lakini bado kisukari kinamsumbua.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa moja ya sharti la babu ni kukaa katika foleni bila kufanya ujanja wa kuwapita uliowakuta.
Mwandishi wetu ambaye aliwahi kuzungumza na babu hivi karibuni alimkariri akisema kuwa watu wanaokiuka masharti, wanapokunywa dawa yake inakuwa kama vile wamekunywa juisi tu na kamwe hawawezi kupona.
Sharti lingine alilolisema mchungaji huyo ni kwamba hairuhusiwi kurudia dawa au vitendo vilivyosababisha wapate maradhi waliyotibiwa hasa zinaa ambayo inachangia kuenea kwa Ukimwi.
Thursday, March 17, 2011
Mtanzania 'awekwa kama mtumwa Uingereza'
Saeeda Khan pichani juu
Aliyekuwa mkurugenzi wa hospitali ameamuriwa kulipa paundi 25,000 kwa mwanammke mmoja wa Kiafrika ambaye amemweka kama mtumwa mjini London.
Mkurugenzi huyo alimweka kifungoni raia mmoja wa Tanzania kama mtumwa kwa miaka minne.
Wazee wa baraza walisikia jinsi Mwanahamisi Mruke alivyosafirishwa kwa ndege mwezi Oktoba 2006 na kulazimishwa kufanya kazi saa kumi na nane kila siku kwa Bi Saeeda Khan ambaye ana umri wa miaka 68.
Mahakama ya Southcrown ilisikiliza namna ambavyo Bi Mruke aliye na umri wa miaka 47 alivyonyimwa haki ya kuwa na hati yake ya kusafiria na uhuru wake, na jinsi alivyohimili madhila aliyopata ili kumsomesha binti yake Afrika.
Khan alishtakiwa kwa biashara haramu ya kusafirisha mtu Uingereza na kumfanyisha kazi bila ujira wowote.
Bi Mruke alisema "hatomsamehe" aliyemweka kifungoni.
"Nilijihisi kama mjinga, nilifanywa kuwa mtumwa," Bi Mruke alisema.
Baada ya kumleta Uingereza kutoka Tanzania, Khan kutoka Harrow, kaskazini magharibi mwa London, mwanzo alimpa paundi 10 kila mwezi na kumfanyisha kazi mchana kutwa kila alipohitajika.
Hata hivyo baada ya mwaka mmoja akaacha kumlipa.
"Hata pesa nilizokuwa nimeahidiwa kulipwa sikupewa. Na nahisi vibaya kuhusu hili" Bi Mruke alisema.
"Nilikuwa nikitaraji kuwa nitalipwa mshahara na kuyaboresha maisha yangu. Lakini matumaini yangu yote yalipotea na nguvu zangu zilididimia na nikaanza kuumwa.
Aliyekuwa mkurugenzi wa hospitali ameamuriwa kulipa paundi 25,000 kwa mwanammke mmoja wa Kiafrika ambaye amemweka kama mtumwa mjini London.
Mkurugenzi huyo alimweka kifungoni raia mmoja wa Tanzania kama mtumwa kwa miaka minne.
Wazee wa baraza walisikia jinsi Mwanahamisi Mruke alivyosafirishwa kwa ndege mwezi Oktoba 2006 na kulazimishwa kufanya kazi saa kumi na nane kila siku kwa Bi Saeeda Khan ambaye ana umri wa miaka 68.
Mahakama ya Southcrown ilisikiliza namna ambavyo Bi Mruke aliye na umri wa miaka 47 alivyonyimwa haki ya kuwa na hati yake ya kusafiria na uhuru wake, na jinsi alivyohimili madhila aliyopata ili kumsomesha binti yake Afrika.
Khan alishtakiwa kwa biashara haramu ya kusafirisha mtu Uingereza na kumfanyisha kazi bila ujira wowote.
Bi Mruke alisema "hatomsamehe" aliyemweka kifungoni.
"Nilijihisi kama mjinga, nilifanywa kuwa mtumwa," Bi Mruke alisema.
Baada ya kumleta Uingereza kutoka Tanzania, Khan kutoka Harrow, kaskazini magharibi mwa London, mwanzo alimpa paundi 10 kila mwezi na kumfanyisha kazi mchana kutwa kila alipohitajika.
Hata hivyo baada ya mwaka mmoja akaacha kumlipa.
"Hata pesa nilizokuwa nimeahidiwa kulipwa sikupewa. Na nahisi vibaya kuhusu hili" Bi Mruke alisema.
"Nilikuwa nikitaraji kuwa nitalipwa mshahara na kuyaboresha maisha yangu. Lakini matumaini yangu yote yalipotea na nguvu zangu zilididimia na nikaanza kuumwa.
Thursday, March 10, 2011
Walimu Buguruni wagoma kufundisha kumtetea mwenzao
Na Fidelis Butahe
WALIMU wa Shule ya Msingi Buguruni Kisiwani, Dar es Salaam wamegoma kufundisha wakishinikiza kuachiwa huru kwa mwenzao, Rosemary Haule waliyedai kuwa yuko katika Gereza la Segerea.
Walimu hao ambao hawakutaka kutajwa majina yao gazetini, waliliambia gazeti hili jana kuwa Haule alikamatwa na kuwekwa mahabusu baada ya kumchapa mwanafunzi anayesoma darasa la nne katika shule hiyo.
Wakisimulia mkasa huo walidai kuwa mwanafunzi huyo alichapwa Februari 4, mwaka huu na mzazi wake alifika shuleni hapo na kudai kuwa mwanaye huyo alipata matatizo ya macho baada ya kuchapwa.
“Sisi baada ya tukio lile tulimchukua na kumpeleka Hospitali ya Amana baada ya kutueleza kuwa anaumwa macho, ila cha kushangaza ni kwamba matatizo ya macho alikuwa nayo kabla hata ya kuchapwa,” alisema mmoja wa walimu hao. Licha ya kupatiwa dawa tulimpeleka katika Hospitali ya CCBRT kwa tiba zaidi, alipona na kurejea nyumbani kwao.”
Mwalimu huyo aliendelea kueleza; "cha ajabu Mwalimu Haule alikamatwa na Polisi na kupelekwa katika Kituo cha Polisi Buguruni ambako alifunguliwa mashtaka,"
“Wiki moja na nusu baada ya Hamisi kupona ndipo Polisi walikuja kumkamata Haule, hivi tunavyozungumza jana (juzi), kafikishwa mahakamani na sasa yuko Gereza la Segerea,” alidai mwalimu huyo.
Mwananchi jana lilifika katika shule hiyo na kukuta walimu wakiwa katika kikao huku wanafunzi wakieleza kuwa walikuwa hawajafundishwa tangu asubuhi.
“Tangu asubuhi hakuna mwalimu aliyeingia kufundisha, isipokuwa aliingia mmoja kwa ajili ya kukusanya fedha za mtihani tu. Tunasikia kuwa wamekwenda kumwona mwenzetu aliyechapwa na mwalimu…, aliumia yuko nyumbani,” alisema mwanafunzi mmoja wa darasa la saba shuleni hapo.
Hata hivyo, Mwalimu Mkuu Msaidizi wa shule hiyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Sanga alisema kuwa walimu hawajagoma na wanaendelea na kazi kama kawaida.
“Hapa hakuna aliyegoma, walimu wanaendelea na kazi kama kawaida,“ alisema Sanga.
Juzi, Mwalimu Rosemary alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la kujeruhi mwanafunzi wake huyo baada ya kumchapa.
Akisoma hati ya mashtaka, Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Aida Kisumo alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Februari 2, mwaka huu shuleni hapo.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa, siku ya tukio saa 7:00 mchana shuleni hapo, mshtakiwa anadaiwa kumpiga mwanafunzi (jina tunalo) viboko na kumkwaruza kwa kucha sehemu mbalimbali za mwili, ikiwamo machoni na kumsababishia majeraha makali.
Mshtakiwa baada ya kusomewa shtaka alikana na Hakimu Tarsila Kisoka aliahirisha kesi hiyo hadi Machi 22, mwaka huu itakapotajwa tena, mshtakiwa alirudishwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.
WALIMU wa Shule ya Msingi Buguruni Kisiwani, Dar es Salaam wamegoma kufundisha wakishinikiza kuachiwa huru kwa mwenzao, Rosemary Haule waliyedai kuwa yuko katika Gereza la Segerea.
Walimu hao ambao hawakutaka kutajwa majina yao gazetini, waliliambia gazeti hili jana kuwa Haule alikamatwa na kuwekwa mahabusu baada ya kumchapa mwanafunzi anayesoma darasa la nne katika shule hiyo.
Wakisimulia mkasa huo walidai kuwa mwanafunzi huyo alichapwa Februari 4, mwaka huu na mzazi wake alifika shuleni hapo na kudai kuwa mwanaye huyo alipata matatizo ya macho baada ya kuchapwa.
“Sisi baada ya tukio lile tulimchukua na kumpeleka Hospitali ya Amana baada ya kutueleza kuwa anaumwa macho, ila cha kushangaza ni kwamba matatizo ya macho alikuwa nayo kabla hata ya kuchapwa,” alisema mmoja wa walimu hao. Licha ya kupatiwa dawa tulimpeleka katika Hospitali ya CCBRT kwa tiba zaidi, alipona na kurejea nyumbani kwao.”
Mwalimu huyo aliendelea kueleza; "cha ajabu Mwalimu Haule alikamatwa na Polisi na kupelekwa katika Kituo cha Polisi Buguruni ambako alifunguliwa mashtaka,"
“Wiki moja na nusu baada ya Hamisi kupona ndipo Polisi walikuja kumkamata Haule, hivi tunavyozungumza jana (juzi), kafikishwa mahakamani na sasa yuko Gereza la Segerea,” alidai mwalimu huyo.
Mwananchi jana lilifika katika shule hiyo na kukuta walimu wakiwa katika kikao huku wanafunzi wakieleza kuwa walikuwa hawajafundishwa tangu asubuhi.
“Tangu asubuhi hakuna mwalimu aliyeingia kufundisha, isipokuwa aliingia mmoja kwa ajili ya kukusanya fedha za mtihani tu. Tunasikia kuwa wamekwenda kumwona mwenzetu aliyechapwa na mwalimu…, aliumia yuko nyumbani,” alisema mwanafunzi mmoja wa darasa la saba shuleni hapo.
Hata hivyo, Mwalimu Mkuu Msaidizi wa shule hiyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Sanga alisema kuwa walimu hawajagoma na wanaendelea na kazi kama kawaida.
“Hapa hakuna aliyegoma, walimu wanaendelea na kazi kama kawaida,“ alisema Sanga.
Juzi, Mwalimu Rosemary alifikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la kujeruhi mwanafunzi wake huyo baada ya kumchapa.
Akisoma hati ya mashtaka, Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Aida Kisumo alidai kuwa mshtakiwa alitenda kosa hilo Februari 2, mwaka huu shuleni hapo.
Ilidaiwa mahakamani hapo kuwa, siku ya tukio saa 7:00 mchana shuleni hapo, mshtakiwa anadaiwa kumpiga mwanafunzi (jina tunalo) viboko na kumkwaruza kwa kucha sehemu mbalimbali za mwili, ikiwamo machoni na kumsababishia majeraha makali.
Mshtakiwa baada ya kusomewa shtaka alikana na Hakimu Tarsila Kisoka aliahirisha kesi hiyo hadi Machi 22, mwaka huu itakapotajwa tena, mshtakiwa alirudishwa rumande baada ya kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.
Serikali yaagiza ugawaji dozi Loliondo usimame hadi uchunguzi ufanyike
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Haji Mponda amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Isdori Shirima kuzuia haraka matibabu ya magonjwa sugu yanayoendeshwa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la KKKT, Ambilikile Mwasapile katika Kijiji cha Samunge, Tarafa Sale, Loliondo.
Dk Mponda alisema hayo jana alipokuwa akijibu swali la waandishi wa habari baada ya kumaliza kuzindua matumizi ya Bajaji kwa ajili ya kusafirishia wagonjwa. Alisema amemwagiza Mkuu wa Mkoa wa Arusha kumzuia mchungaji huyo kuendelea na utoaji wa dawa mpaka serikali itakapojiridhisha na hali ya usalama pamoja na uwezo wa dawa hiyo.
“Kutokana na hali halisi ya usalama wa kiafya kwa sasa katika eneo hilo, kuna hatari ya kuwepo kwa milipuko ya magonjwa kwa kuwa idadi ya watu inazidi kuongezeka,” alisema Dk Mponda.
Wednesday, March 9, 2011
BABY MADAHA atoa Mimba!!
DIVA wa kiwanda cha filamu na Bongo Fleva, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’, anadaiwa kukanyaga skendo mpya akituhumiwa ‘kuchoropoa’ mimba ya pedeshee mmoja (jina kapuni) anayeishi Mombasa, Kenya, Risasi Mchanganyiko lina fulu mkanda.
Kwa mujibu wa chanzo makini kilichopo karibu na mlimbwende huyo aliyeangukia kwenye tasnia ya filamu, Baby Madaha (pichani) alikuwa na uhusiano wa siri na pedeshee huyo na mara kwa mara alikuwa hakauki kwa kufanya safari kwenda katika ardhi ya Mzee Kibaki.
‘Kikulacho’ hicho kilizidi kutambaa na mistari kuwa, baada ya Baby Madaha ‘kubugia’ ujauzito wa jamaa huyo, ndipo akaanza kuhaha kutafuta njia ya kuuchoropoa lengo likiwa ni kulinda penzi lake la sasa lisiingie mchanga.
“Yaani ilikuwa pata shika nguo kuchanika, baada ya kujishtukia kuwa amenasa akaanza kutumia pombe kali, limao na baadaye akafanikiwa kuutoa ujauzito huo katika hospitali moja nchini Kenya,” kilidai chanzo.
Hata hivyo, imedaiwa kuwa mapaka Baby Madaha anafanikiwa kutimiza lengo lake hilo, alishatumia fedha kibao katika kuhangaika huku na kule bila mafanikio.
Kama kawaida, gazeti hili lilimtafuta msanii huyo ili kujua ukweli wa habari hiyo na alipopatikana alikiri kufanya ukatili huo wa kukatisha maisha ya kichanga kilichokuwa tumboni mwake.
“Aisee kwa kweli ni balaa, nani kawaambia? Anyway ni kweli na sijutii kufanya hivyo kwa kuwa hata Marekani wameruhusu tendo hilo, hayo ni mambo yangu ya ndani siwezi kuendelea kuyaweka hadharani, ila mimba kweli nilitoa,” alisema malkia huyo wa ‘songi’ la Amore ambaye hivi sasa anatamba na wimbo mpya wa Desperado.Mbali na kutamba kwenye muziki, Baby Madaha ameuza ‘nyago’ kwenye Filamu za Misukosuko na House no 44.
Diamond na Wema sasa mambo yameiva
MSANII wa muziki wa Kizazi Kipya ‘Bongo Fleva’, Naseeb Abdul ‘Diamond’ (pichani), amenaswa ‘laivu’ na paparazi wetu wakiwa ‘beneti’ na mpenzi wake wa sasa, Wema Abraham Sepetu, Risasi Mchanganyiko linakupa kisa kizima.
Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa kuamkia Machi 7, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa New Maisha pande za Masaki, Dar es Salaam ambapo Diamond alikwenda kwa ajili ya kuangusha shoo huku Wema na mama Diamond wakiwa mashuhuda.
Wakati Diamond akipanda stejini, Wema aliye pia Miss Tanzania 2006/07, alionekana akikwepa kamera na kujifanya mmoja wa mapaparazi kwa ‘kumfotoa’ picha mpenzi wake huyo huku mama Diamond akiwa amejituliza pembeni akifuatilia hatua kwa hatua mambo yalivyokuwa yakinoga ukumbi humo.
Baada ya kumalizika kwa onesho hilo, wote watatu waliingia kwenye sehemu ya kubadilishia mavazi na kuanza kupunga hewa huku wakipongezana kwa shoo nzuri iliyofanywa na Diamond.
Ndani ya dakika sifuri, paparazi wetu alijisogeza na kumkuta Wema akiwa amekaa karibu na mama Diamond.
Kabla ya kusema au kuuliza chochote, Wema alimziba mdomo mwandishi wetu kwa kumwambia kwamba, yuko na mama mkwe ambaye ni mama wa Diamond.
Alisema: “Nimetulia hapa na mama mkwe wangu, sijui unamfahamu vizuri? Huyu ni mama wa Diamond lakini hakuna tatizo kama unahitaji picha ya pamoja na mama yetu, unaweza kutupiga tu ila Diamond yule pale anasalimiana na mashabiki wake, si unajua mtu ukishuka jukwaani pongezi huwa lazima?” Alihoji Wema.
Baada ya utambulisho huo, Risasi Mchanganyiko lililazimika kuchangamkia ‘ofa’ hiyo ya kuwapiga picha ya pamoja huku Wema akisogea karibu zaidi na mama mkwe wake kwa ajili ya picha hiyo ya ukumbusho.
Bila kinyongo, mama Diamond alitoa ushirikiano kwa ajili ya zoezi hilo.
Wakati Wema na mama Diamond wakipigwa picha ya pamoja, ghafla Diamond naye alisogea na kujiunga huku akisema kuwa hiyo ni picha ya familia, akimaanisha yeye, mama yake na Wema.
Katika zoezi hilo, Diamond na mama yake aliamua kumweka Wema katikati kuonesha ishara ya upendo kwa ‘memba’ huyo mpya katika familia yao.
Katika historia ya wawili hao ambao wamekuwa wakidaiwa ‘kutoka’ wote, walimpa paparazi wetu ‘chansi’ ya kuwagonga picha kwa mara ya kwanza wakiwa katika pozi la ‘malavidavi’.
KWA NINI ‘EXCLUSIVE’?
Mara zote wawili hao wamekuwa wagumu kupigwa picha ya pamoja na kuweka wazi juu ya uhusiano wao, lakini kwa sasa haina ubishi tena kwani kinachosubiriwa ni ndoa tu.
Tukio hilo lilichukua nafasi usiku wa kuamkia Machi 7, mwaka huu ndani ya Ukumbi wa New Maisha pande za Masaki, Dar es Salaam ambapo Diamond alikwenda kwa ajili ya kuangusha shoo huku Wema na mama Diamond wakiwa mashuhuda.
Wakati Diamond akipanda stejini, Wema aliye pia Miss Tanzania 2006/07, alionekana akikwepa kamera na kujifanya mmoja wa mapaparazi kwa ‘kumfotoa’ picha mpenzi wake huyo huku mama Diamond akiwa amejituliza pembeni akifuatilia hatua kwa hatua mambo yalivyokuwa yakinoga ukumbi humo.
Baada ya kumalizika kwa onesho hilo, wote watatu waliingia kwenye sehemu ya kubadilishia mavazi na kuanza kupunga hewa huku wakipongezana kwa shoo nzuri iliyofanywa na Diamond.
Ndani ya dakika sifuri, paparazi wetu alijisogeza na kumkuta Wema akiwa amekaa karibu na mama Diamond.
Kabla ya kusema au kuuliza chochote, Wema alimziba mdomo mwandishi wetu kwa kumwambia kwamba, yuko na mama mkwe ambaye ni mama wa Diamond.
Alisema: “Nimetulia hapa na mama mkwe wangu, sijui unamfahamu vizuri? Huyu ni mama wa Diamond lakini hakuna tatizo kama unahitaji picha ya pamoja na mama yetu, unaweza kutupiga tu ila Diamond yule pale anasalimiana na mashabiki wake, si unajua mtu ukishuka jukwaani pongezi huwa lazima?” Alihoji Wema.
Baada ya utambulisho huo, Risasi Mchanganyiko lililazimika kuchangamkia ‘ofa’ hiyo ya kuwapiga picha ya pamoja huku Wema akisogea karibu zaidi na mama mkwe wake kwa ajili ya picha hiyo ya ukumbusho.
Bila kinyongo, mama Diamond alitoa ushirikiano kwa ajili ya zoezi hilo.
Wakati Wema na mama Diamond wakipigwa picha ya pamoja, ghafla Diamond naye alisogea na kujiunga huku akisema kuwa hiyo ni picha ya familia, akimaanisha yeye, mama yake na Wema.
Katika zoezi hilo, Diamond na mama yake aliamua kumweka Wema katikati kuonesha ishara ya upendo kwa ‘memba’ huyo mpya katika familia yao.
Katika historia ya wawili hao ambao wamekuwa wakidaiwa ‘kutoka’ wote, walimpa paparazi wetu ‘chansi’ ya kuwagonga picha kwa mara ya kwanza wakiwa katika pozi la ‘malavidavi’.
KWA NINI ‘EXCLUSIVE’?
Mara zote wawili hao wamekuwa wagumu kupigwa picha ya pamoja na kuweka wazi juu ya uhusiano wao, lakini kwa sasa haina ubishi tena kwani kinachosubiriwa ni ndoa tu.
Mwanaume muuaji wanawake aibuka Dar
Hali ya hatari imejitokeza hivi karibuni jijini Dar es Salaam baada ya kuibuka mwanaume mmoja anayedaiwa kuua wanawake.
Mwanaume huyo ambaye anasakwa na polisi, anadaiwa kuwa ndiye aliyewaua wanawake watatu kwenye nyumba za kulala wageni huku mwanamke mmoja akinusurika kufa.
Vifo hivyo vya kusikitisha vilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo Jumatano ya Februari 23, mwaka huu, aliyekuwa anadaiwa kuwa ni mwanafunzi wa Ubungo Islamic High School, Amina Ramadhani aliingia na mwanaume anayetuhumiwa kwa mauaji hayo kwenye nyumba ya kulala wageni iitwayo Mkomboni iliyopo Kinondoni Mkwajuni.
Baada ya muda mfupi mwanaume huyo aliondoka. Wahudumu wa nyumba hiyo ya kulala wageni (gesti) walimkuta msichana huyo kwenye chumba namba sita akiwa amekufa huku akichuruzika damu mdomoni.
Wakati mwili wa marehemu ukichukuliwa kwenye gesti hiyo, wahudumu na baadhi ya watu walidai kumwona mwanaume anayetuhumiwa kwa mauaji hayo kabla ya tukio hilo. Waliuelezea mwonekano wake kuwa ni mwembamba, mrefu, mweusi na anapenda kuvaa kofia ya kufunika uso ‘kapelo’. Walieleza kuwa haikuwa siku yake ya kwanza kulala kwenye gesti hiyo.
Mwili wa marehemu Amina ulitambuliwa na ndugu zake katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar, Februari 26, mwaka huu ambapo waliuchukua kwa ajili ya kwenda kuuzika.
Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni likijipanga kumsaka muuaji huyo, kesho yake mwanamke mwingine alikutwa amekufa kwenye gesti nyingine.
Mwanamke huyo ambaye mpaka jana Jumatatu mwili wake ulikuwa bado haujatambulika ukiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Temeke, alikutwa amekufa kwenye chumba namba 108 ndani ya ‘gesti’ ya Four A iliyopo Tandika Transformer jijini Dar.
Inadaiwa kuwa marehemu huyo naye aliingia chumbani na mwanaume aliyekuwa amevaa ‘kapelo’ anayeshukiwa kuwa ndiye aliyefanya mauaji ya awali.
Baada ya mwili huo kufanyiwa uchunguzi wa awali eneo la tukio, ulikutwa umekatwa sehemu za siri huku ukivuja damu nyingi puani, hali iliyoonesha kuwa kulikuwa na imani za kishirikina katika tukio hilo.
Inaelezwa kuwa baada ya kifo cha mwanamke huyo, mtuhumiwa alitokomea kusikojulikana ambapo Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke kwa kushirikiana na wenzao wa sehemu mbalimbali wanaendelea na juhudi za kumsaka mtuhumiwa.
Katika tukio hilo, wakazi walioshuhudia marehemu akitolewa kwenye gesti hiyo walionekana kuchanganyikiwa na kukumbushia tukio lingine la mauaji lililotokea hivi karibuni.
Katika tukio hilo, mwanamke mwingine aliyetajwa kwa jina moja la Hadija ambaye aliingia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Ngekewa akiwa na mwanaume mweye wajihi kama wa yule anayevaa ‘kapelo’ na baada ya muda mfupi akakutwa amefia chumbani katika mazingira ya kutatanisha.
Mwili wa Hadija ulikutwa umelala kitandani kwenye chumba namba sita cha ‘gesti’ hiyo huku mwanaume aliyeingia naye ambaye anatuhumiwa kwa mauaji hayo akitokomea kusikojulikana.
Baadhi ya watu waliowaona wauaji kabla ya matukio hayo wameeleza kuwa watuhumiwa hao wanaonekana katika mwonekano unaofanana na wengine kudai huenda ni mtu mmoja.
Inaelezwa kuwa mwanamke aliyenusurika kufa baada ya kutoka mbio chumbani akiwa na kanga moja, aliwaambia wahudumu wa nyumba moja ya kulala wageni ya Mkomboni iliyopo Kinondoni Mkwajuni, Dar kuwa alichokiona chumbani humo hajawahi kukiona maishani mwake.
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, David Misime, amewaomba wananchi kutulia wakati wakiendelea na uchunguzi na ametoa wito kwa mtu yeyote aliyepotelewa na ndugu yake ambaye ni mwanamke afike Hospitali ya Temeke kuutambua mwili wa mwanamke huyo
Mwanaume huyo ambaye anasakwa na polisi, anadaiwa kuwa ndiye aliyewaua wanawake watatu kwenye nyumba za kulala wageni huku mwanamke mmoja akinusurika kufa.
Vifo hivyo vya kusikitisha vilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo Jumatano ya Februari 23, mwaka huu, aliyekuwa anadaiwa kuwa ni mwanafunzi wa Ubungo Islamic High School, Amina Ramadhani aliingia na mwanaume anayetuhumiwa kwa mauaji hayo kwenye nyumba ya kulala wageni iitwayo Mkomboni iliyopo Kinondoni Mkwajuni.
Baada ya muda mfupi mwanaume huyo aliondoka. Wahudumu wa nyumba hiyo ya kulala wageni (gesti) walimkuta msichana huyo kwenye chumba namba sita akiwa amekufa huku akichuruzika damu mdomoni.
Wakati mwili wa marehemu ukichukuliwa kwenye gesti hiyo, wahudumu na baadhi ya watu walidai kumwona mwanaume anayetuhumiwa kwa mauaji hayo kabla ya tukio hilo. Waliuelezea mwonekano wake kuwa ni mwembamba, mrefu, mweusi na anapenda kuvaa kofia ya kufunika uso ‘kapelo’. Walieleza kuwa haikuwa siku yake ya kwanza kulala kwenye gesti hiyo.
Mwili wa marehemu Amina ulitambuliwa na ndugu zake katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar, Februari 26, mwaka huu ambapo waliuchukua kwa ajili ya kwenda kuuzika.
Wakati Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni likijipanga kumsaka muuaji huyo, kesho yake mwanamke mwingine alikutwa amekufa kwenye gesti nyingine.
Mwanamke huyo ambaye mpaka jana Jumatatu mwili wake ulikuwa bado haujatambulika ukiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Temeke, alikutwa amekufa kwenye chumba namba 108 ndani ya ‘gesti’ ya Four A iliyopo Tandika Transformer jijini Dar.
Inadaiwa kuwa marehemu huyo naye aliingia chumbani na mwanaume aliyekuwa amevaa ‘kapelo’ anayeshukiwa kuwa ndiye aliyefanya mauaji ya awali.
Baada ya mwili huo kufanyiwa uchunguzi wa awali eneo la tukio, ulikutwa umekatwa sehemu za siri huku ukivuja damu nyingi puani, hali iliyoonesha kuwa kulikuwa na imani za kishirikina katika tukio hilo.
Inaelezwa kuwa baada ya kifo cha mwanamke huyo, mtuhumiwa alitokomea kusikojulikana ambapo Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Temeke kwa kushirikiana na wenzao wa sehemu mbalimbali wanaendelea na juhudi za kumsaka mtuhumiwa.
Katika tukio hilo, wakazi walioshuhudia marehemu akitolewa kwenye gesti hiyo walionekana kuchanganyikiwa na kukumbushia tukio lingine la mauaji lililotokea hivi karibuni.
Katika tukio hilo, mwanamke mwingine aliyetajwa kwa jina moja la Hadija ambaye aliingia kwenye nyumba ya kulala wageni ya Ngekewa akiwa na mwanaume mweye wajihi kama wa yule anayevaa ‘kapelo’ na baada ya muda mfupi akakutwa amefia chumbani katika mazingira ya kutatanisha.
Mwili wa Hadija ulikutwa umelala kitandani kwenye chumba namba sita cha ‘gesti’ hiyo huku mwanaume aliyeingia naye ambaye anatuhumiwa kwa mauaji hayo akitokomea kusikojulikana.
Baadhi ya watu waliowaona wauaji kabla ya matukio hayo wameeleza kuwa watuhumiwa hao wanaonekana katika mwonekano unaofanana na wengine kudai huenda ni mtu mmoja.
Inaelezwa kuwa mwanamke aliyenusurika kufa baada ya kutoka mbio chumbani akiwa na kanga moja, aliwaambia wahudumu wa nyumba moja ya kulala wageni ya Mkomboni iliyopo Kinondoni Mkwajuni, Dar kuwa alichokiona chumbani humo hajawahi kukiona maishani mwake.
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, David Misime, amewaomba wananchi kutulia wakati wakiendelea na uchunguzi na ametoa wito kwa mtu yeyote aliyepotelewa na ndugu yake ambaye ni mwanamke afike Hospitali ya Temeke kuutambua mwili wa mwanamke huyo
Jerry Muro na wenzake wana kesi ya kujibu - mahakama
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema washitakiwa katika kesi ya kuomba rushwa ya Sh milioni 10 inayomkabili aliyekuwa mtangazaji wa Shirika la Utangazaji nchini (TBC1) Jerry Muro na wenzake wana kesi ya kujibu.
Mwendesha mashitaka Wakili Mkuu wa Serikali Boniface Stanslaus, alidai jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo anayesikiliza shauri hilo Gabriel Mirumbe kuwa shauri hilo lilikuja kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa ambapo walikuwa na shahidi mmoja.
Baada ya Shahidi huyo Askari wa kikosi cha upelelezi katika ofisi ya Kamishna wa Upelelezi kanda maalum ya Dar es Salaam, Koplo Lugano kumaliza kutoa ushahidi wake, Wakili Stanslaus alidai upande wa mashitaka umefunga kesi hiyo.
Hakimu alisema anaahirisha shauri hilo kwa muda wa nusu saa ili aweze kupitia kesi hiyo na kutoa uamuzi kama washitakiwa wana kesi ya kujibu au la.
Baada ya nusu saa shauri hilo lilisikilizwa tena ambapo Hakimu Mirumbe alisema, “kupitia ushahidi uliotolewa na mashahidi saba na vielelezo vyote vilivyotolewa kama ushahidi katika kesi hii, Mahakama imeona washitakiwa wote wana kesi ya kujibu.”
Kutokana na uamuzi huo, Hakimu Mirumbe pia aliwauliza upande wa utetezi kama wana jambo la kuzungumza kufuatia uamuzi huo ambapo walidai hawana cha kuzungumza, ambapo aliahirisha shauri hilo hadi Machi 29, mwaka huu washitakiwa hao watakapoanza kujitetea.
Muro na wenzake Edmund Kapama na Deogratius Mgasa, wanadaiwa kuomba rushwa ya Sh milioni 10 kutoka kwa aliyekuwa Mhasibu wa Wilaya ya Bagamoyo Michael Wage na kujifanya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Januari mwaka jana.
Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Februari 5, mwaka 2010
Mwendesha mashitaka Wakili Mkuu wa Serikali Boniface Stanslaus, alidai jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo anayesikiliza shauri hilo Gabriel Mirumbe kuwa shauri hilo lilikuja kwa ajili ya kuendelea kusikilizwa ambapo walikuwa na shahidi mmoja.
Baada ya Shahidi huyo Askari wa kikosi cha upelelezi katika ofisi ya Kamishna wa Upelelezi kanda maalum ya Dar es Salaam, Koplo Lugano kumaliza kutoa ushahidi wake, Wakili Stanslaus alidai upande wa mashitaka umefunga kesi hiyo.
Hakimu alisema anaahirisha shauri hilo kwa muda wa nusu saa ili aweze kupitia kesi hiyo na kutoa uamuzi kama washitakiwa wana kesi ya kujibu au la.
Baada ya nusu saa shauri hilo lilisikilizwa tena ambapo Hakimu Mirumbe alisema, “kupitia ushahidi uliotolewa na mashahidi saba na vielelezo vyote vilivyotolewa kama ushahidi katika kesi hii, Mahakama imeona washitakiwa wote wana kesi ya kujibu.”
Kutokana na uamuzi huo, Hakimu Mirumbe pia aliwauliza upande wa utetezi kama wana jambo la kuzungumza kufuatia uamuzi huo ambapo walidai hawana cha kuzungumza, ambapo aliahirisha shauri hilo hadi Machi 29, mwaka huu washitakiwa hao watakapoanza kujitetea.
Muro na wenzake Edmund Kapama na Deogratius Mgasa, wanadaiwa kuomba rushwa ya Sh milioni 10 kutoka kwa aliyekuwa Mhasibu wa Wilaya ya Bagamoyo Michael Wage na kujifanya maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Januari mwaka jana.
Washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Februari 5, mwaka 2010
Tuesday, March 8, 2011
Inatisha
HOFU kubwa imetanda kwa wakazi wa Kijiji cha Masukanzi, wilayani Kilolo, mkoani Iringa baada ya kichwa cha mtu anayesadikika kuwa ni mtoto kuokotwa katika eneo hilo kikiwa kwenye mfuko wa rambo.
Kuokotwa kwa kichwa hicho cha mtoto kumekuja siku chache tangu kuzuka kwa hofu ya wananchi wa kijiji cha jirani baada ya watu wasiofahamika kuvamia maeneo hayo na kukimbiza wananchi kwa mapanga kwa nia ya kutaka kuwaua.
Wakizungumza na gazeti hili kwa masharti ya kutoandikwa majina yao gazetini kwa sababu za kiusalama, wakazi wa Masukanzi walisema kuwa kichwa hicho kimeokotwa katika mazingira ya kutatanisha kikiwa ndani ya mfuko wa rambo na kuwa inaonesha wauaji walimtenganisha na kiwiliwili ambacho hakijulikani kilipo.
Walisema kuwa, mwezi mmoja uliopita kuna mtoto alipotea katika mazingira ya kutatanisha katika eneo hilo. Licha ya jitihada za muda wa zaidi ya wiki mbili kumtafuta, bado hakuweza kupatikana .
Kutokana na kichwa hicho kutotambuliwa, kimechukuliwa na maofisa wa polisi kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na utambuzi hospitalini kwa kutumia mashine maalum ya DNA.
Wananchi hao walisema kuonekana kwa kichwa hicho kumewakumbusha ‘Rama mla watu’ ambaye alikamatwa na kichwa cha mtoto kikiwa katika mfuko wa rambo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili miaka kadhaa iliyopita na akatafuna kipande. Kesi yake inaendelea katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa hakuweza kupatikana kufafanua kuhusiana na tukio hilo na gazeti hili linaendelea na uchunguzi zaidi.
Kuokotwa kwa kichwa hicho cha mtoto kumekuja siku chache tangu kuzuka kwa hofu ya wananchi wa kijiji cha jirani baada ya watu wasiofahamika kuvamia maeneo hayo na kukimbiza wananchi kwa mapanga kwa nia ya kutaka kuwaua.
Wakizungumza na gazeti hili kwa masharti ya kutoandikwa majina yao gazetini kwa sababu za kiusalama, wakazi wa Masukanzi walisema kuwa kichwa hicho kimeokotwa katika mazingira ya kutatanisha kikiwa ndani ya mfuko wa rambo na kuwa inaonesha wauaji walimtenganisha na kiwiliwili ambacho hakijulikani kilipo.
Walisema kuwa, mwezi mmoja uliopita kuna mtoto alipotea katika mazingira ya kutatanisha katika eneo hilo. Licha ya jitihada za muda wa zaidi ya wiki mbili kumtafuta, bado hakuweza kupatikana .
Kutokana na kichwa hicho kutotambuliwa, kimechukuliwa na maofisa wa polisi kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi na utambuzi hospitalini kwa kutumia mashine maalum ya DNA.
Wananchi hao walisema kuonekana kwa kichwa hicho kumewakumbusha ‘Rama mla watu’ ambaye alikamatwa na kichwa cha mtoto kikiwa katika mfuko wa rambo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili miaka kadhaa iliyopita na akatafuna kipande. Kesi yake inaendelea katika Mahakama ya Kisutu jijini Dar.
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Iringa hakuweza kupatikana kufafanua kuhusiana na tukio hilo na gazeti hili linaendelea na uchunguzi zaidi.
Babu wa Loliondo aiangukia Serikali
Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Ambilikile Masapila (kushoto) akiwa na msaidizi wake.
WAKATI idadi ya watu ikizidi kumiminika katika Kijiji cha Samunge, Tarafa Sale, Loliondo kupata kile kinachoaminika kuwa ni tiba dhidi ya magonjwa sugu, mtoa huduma hiyo, Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Ambilikile Masapila ameiomba Serikali imsaidie kupata gari la kubeba dawa, vyombo vya kunywea, kuni na vyombo vikubwa vya kuchemshia dawa hiyo ili kukabili wingi huo.
Mchungaji Masapila ambaye alistaafu utumishi wa Kanisa mwaka 2001, katika Usharika wa Sonjo, alisema licha ya dawa hiyo kutolewa kwa Sh 500, pia kuna tatizo kubwa la barabara hadi kufika kijijini hapo.
"Tunaomba Serikali kutengeneza barabara kwani wagonjwa wanapata shida sana kufika hapa, nasikia hata nauli zimepanda sana," alisema Masapila.
Gharama za magari zimeendelea kuwa juu kwani hivi sasa wale wanaokwenda kwa kutumia magari ya kitalii wanalazimika kulipa kati ya Sh120,000 na 150,000 na mabasi ni kati ya Sh30,000 hadi 50,000.
Magari hayo sasa yamekuwa yakiondoka Arusha usiku ili kufika Samunge usiku wa manane na hatimaye siku inayofuata wagonjwa wapate dawa.
Kuongezeka kwa kasi kwa watu wanaokwenda kutibiwa kwa mchungaji huyo kumeibua hofu ya kutokea kwa magonjwa ya milipuko kama kipindupindu na kuhara kutokana na kukosekana kwa huduma muhimu za kijamii.
Eneo hilo hivi sasa linakabiliwa na tatizo kubwa la huduma muhimu kama vile majisafi, vyoo, nyumba za kulala na vyakula hivyo wageni hao wengi wakiwa wanakabiliwa na maradhi sugu yakiwemo kansa, kisukari, shinikizo la damu, kifua kikuu na Ukimwi.
Akizungumza na Mwananchi jana, Msaidizi wa Mchungaji huyo, Paulo Dudui alisema maafa makubwa yakiwamo magonjwa ya mlipuko yanaweza kutokea kwa sasa... "Tunaomba (Serikali) msaada wa mahema, vyoo vya muda na huduma muhimu kama mawasiliano kwani hapa kuna watu zaidi ya 6,000 ambao wanalala nje hawana sehemu za kujisaidia, vyakula hakuna na hata mawasiliano hakuna."
Alisema gharama za maisha katika eneo hilo zimepanda kwani bei za vyakula hivi sasa ni kubwa mno akisema hali hiyo ni hatari hasa kwa wagonjwa wanaotolewa hospitali ambao hali zao zinaweza kuwa mbaya hata kabla ya matibabu na hivyo kufariki.
Alisema juzi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali aliwatembelea na kujionea hali hiyo na hivyo wana imani suala la msaada litafikishwa katika ngazi za juu.
"Hali ni mbaya sana hapa kama mvua zikinyesha zaidi kunaweza hata kutokea vifo kwani wengi wanaokuja hapa ni wagonjwa," alisema Dudui.
Kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa kunatokana na kusambaa kwa taarifa za watu waliopata tiba hiyo na kupona maradhi hayo sugu. Kiongozi mmoja mwandamizi wa CCM Mkoa wa Arusha ambaye hakutaka kutaja jina lake alidai kuwa tangu alipokunywa dawa hiyo, tatizo la sukari ambalo lilikuwa likimsumbua limekwisha.
"Sijui kama nimepona kabisa au la, lakini sasa najisikia vizuri tofauti na mwanzo," alisema kiongozi huyo.
Diwani waViti Maalum (CCM) Wilaya ya Monduli, Dora Kipuyo alidai anamfahamu mgonjwa aliyekuwa na kansa ya mguu ambao ulitakiwa kukatwa, lakini baada ya kupata dawa hiyo sasa vidonda vimekauka.
Baadhi ya watu wenye Virusi Vya Ukimwi (VVU), ambao wamepewa dawa hiyo, licha ya kudai kuwa sasa wana hali nzuri, bado hawajapima kwani wengi waliohojiwa walikuwa hawajatimiza sharti la kukaa siku saba kabla ya kupima ili wajue kama virusi vimekwisha au la.
Mchungaji Masapila alisema dawa hiyo ambayo alioteshwa na Mungu tangu mwaka 1991 na kukumbushwa mwaka 2009, inatokana na maombi na mti wa mgariga ambao unapatikana katika viunga vya Milima ya Sonjo.
Hata hivyo, alisema kupona kwa mgonjwa haraka pia kutokana na imani yake juu ya dawa hiyo ambayo dozi yake ni kikombe kimoja tu kinachonywewa hapo hapo inakotolewa.
Tayari Wizara ya Afya, imekwishatuma wataalam wake kwenda huko kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa dawa hiyo.
CHANZO: MWANANCHI MACHI 08, 2011
WAKATI idadi ya watu ikizidi kumiminika katika Kijiji cha Samunge, Tarafa Sale, Loliondo kupata kile kinachoaminika kuwa ni tiba dhidi ya magonjwa sugu, mtoa huduma hiyo, Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Ambilikile Masapila ameiomba Serikali imsaidie kupata gari la kubeba dawa, vyombo vya kunywea, kuni na vyombo vikubwa vya kuchemshia dawa hiyo ili kukabili wingi huo.
Mchungaji Masapila ambaye alistaafu utumishi wa Kanisa mwaka 2001, katika Usharika wa Sonjo, alisema licha ya dawa hiyo kutolewa kwa Sh 500, pia kuna tatizo kubwa la barabara hadi kufika kijijini hapo.
"Tunaomba Serikali kutengeneza barabara kwani wagonjwa wanapata shida sana kufika hapa, nasikia hata nauli zimepanda sana," alisema Masapila.
Gharama za magari zimeendelea kuwa juu kwani hivi sasa wale wanaokwenda kwa kutumia magari ya kitalii wanalazimika kulipa kati ya Sh120,000 na 150,000 na mabasi ni kati ya Sh30,000 hadi 50,000.
Magari hayo sasa yamekuwa yakiondoka Arusha usiku ili kufika Samunge usiku wa manane na hatimaye siku inayofuata wagonjwa wapate dawa.
Kuongezeka kwa kasi kwa watu wanaokwenda kutibiwa kwa mchungaji huyo kumeibua hofu ya kutokea kwa magonjwa ya milipuko kama kipindupindu na kuhara kutokana na kukosekana kwa huduma muhimu za kijamii.
Eneo hilo hivi sasa linakabiliwa na tatizo kubwa la huduma muhimu kama vile majisafi, vyoo, nyumba za kulala na vyakula hivyo wageni hao wengi wakiwa wanakabiliwa na maradhi sugu yakiwemo kansa, kisukari, shinikizo la damu, kifua kikuu na Ukimwi.
Akizungumza na Mwananchi jana, Msaidizi wa Mchungaji huyo, Paulo Dudui alisema maafa makubwa yakiwamo magonjwa ya mlipuko yanaweza kutokea kwa sasa... "Tunaomba (Serikali) msaada wa mahema, vyoo vya muda na huduma muhimu kama mawasiliano kwani hapa kuna watu zaidi ya 6,000 ambao wanalala nje hawana sehemu za kujisaidia, vyakula hakuna na hata mawasiliano hakuna."
Alisema gharama za maisha katika eneo hilo zimepanda kwani bei za vyakula hivi sasa ni kubwa mno akisema hali hiyo ni hatari hasa kwa wagonjwa wanaotolewa hospitali ambao hali zao zinaweza kuwa mbaya hata kabla ya matibabu na hivyo kufariki.
Alisema juzi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Elias Wawa Lali aliwatembelea na kujionea hali hiyo na hivyo wana imani suala la msaada litafikishwa katika ngazi za juu.
"Hali ni mbaya sana hapa kama mvua zikinyesha zaidi kunaweza hata kutokea vifo kwani wengi wanaokuja hapa ni wagonjwa," alisema Dudui.
Kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa kunatokana na kusambaa kwa taarifa za watu waliopata tiba hiyo na kupona maradhi hayo sugu. Kiongozi mmoja mwandamizi wa CCM Mkoa wa Arusha ambaye hakutaka kutaja jina lake alidai kuwa tangu alipokunywa dawa hiyo, tatizo la sukari ambalo lilikuwa likimsumbua limekwisha.
"Sijui kama nimepona kabisa au la, lakini sasa najisikia vizuri tofauti na mwanzo," alisema kiongozi huyo.
Diwani waViti Maalum (CCM) Wilaya ya Monduli, Dora Kipuyo alidai anamfahamu mgonjwa aliyekuwa na kansa ya mguu ambao ulitakiwa kukatwa, lakini baada ya kupata dawa hiyo sasa vidonda vimekauka.
Baadhi ya watu wenye Virusi Vya Ukimwi (VVU), ambao wamepewa dawa hiyo, licha ya kudai kuwa sasa wana hali nzuri, bado hawajapima kwani wengi waliohojiwa walikuwa hawajatimiza sharti la kukaa siku saba kabla ya kupima ili wajue kama virusi vimekwisha au la.
Mchungaji Masapila alisema dawa hiyo ambayo alioteshwa na Mungu tangu mwaka 1991 na kukumbushwa mwaka 2009, inatokana na maombi na mti wa mgariga ambao unapatikana katika viunga vya Milima ya Sonjo.
Hata hivyo, alisema kupona kwa mgonjwa haraka pia kutokana na imani yake juu ya dawa hiyo ambayo dozi yake ni kikombe kimoja tu kinachonywewa hapo hapo inakotolewa.
Tayari Wizara ya Afya, imekwishatuma wataalam wake kwenda huko kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa dawa hiyo.
CHANZO: MWANANCHI MACHI 08, 2011
Monday, March 7, 2011
Watu wajazana Loliondo kupata Dawa
Juu na Chini msururu wa magari na watu kuelekea
Loliondo kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile kupata tiba ya jero
MAELFU ya watu, wakiwemo vigogo wa serikali, wabunge na wafanyabiashara wakubwa nchini, wamefurika katika Kijiji cha Samunge Tarafa ya Sale wilayani Ngorongoro kupata 'dawa ya maajabu ya Mungu' inayodaiwa kutibu magonjwa mengi sugu ikiwamo Ukimwi.
Helkopta za wafanyabiashara na magari zaidi ya 1,000 yakiwamo magari ya serikali, binafsi na mashirika ya kimataifa ikiwamo Umoja wa Mataifa (UN) na Jumuiya ya Afrika Mashariki, yamefurika katika kijiji hicho kilichopo umbali ya takriban kilometa 400 kutoka Jiji la Arusha.
Wakubwa wakijisogeza Loliondo
Dawa hiyo, inatolewa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapile (76), ambaye anasema alioteshwa na Mungu kuitumia kutibu tangu mwaka 1991.
Mchungaji Mwasapile ambaye alifanya mahojiano na Mwananchi Jumapili nyumbani kwake wakati akiendendelea kutoa dawa kwa wagonjwa wake, anasema ndoto hiyo aliendelea kuota mara kadhaa hadi Agosti 26 mwaka jana alipoanza rasmi kutibu.
Mchungaji Mwasapile akihojiwa na waandishi
Anasema dawa hiyo inatokana na mti aina ya mugariga na yeye pekee ndiye anaweza kukupatia na kunywa kikombe kimoja pekee na ukinywa tu inaanza kazi ya kutibu maradhi sugu ya ukimwi, kisukari, pumu na saratani.
Wananchi wakikinga vikombe kupatiwa dawa na
Mchungaji Ambilikile Mwasapile kwa bei ya sh. 500 tu
Mchungaji Mwasapile anasema gharama za dawa hiyo ni Sh500 tu na dozi yake ni kikombe kimoja tu na hairuhusiwi kurudia kuinywa. Kabla ya kukamilika mchungaji huyo huiombea dawa hiyo na kuichemsha katika maji safi.
“Mungu ameniotesha kutoa dawa hii kwa Sh 500 aliponiambia hata mimi nilishangaa. Kwanza aliniambia niwape watu wapone saratani, kisukari, pumu na magonjwa mengine na baadaye akanionyesha kuwa dawa hii niwape hata wagonjwa wa ukimwi na watapona,“ anasema Mwasapile.
Habari hii imeandikwa Mussa Juma
na Daniel Sabuni, Loliondo.
Picha zote kwa hisani ya Aman Masue.
Loliondo kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile kupata tiba ya jero
MAELFU ya watu, wakiwemo vigogo wa serikali, wabunge na wafanyabiashara wakubwa nchini, wamefurika katika Kijiji cha Samunge Tarafa ya Sale wilayani Ngorongoro kupata 'dawa ya maajabu ya Mungu' inayodaiwa kutibu magonjwa mengi sugu ikiwamo Ukimwi.
Helkopta za wafanyabiashara na magari zaidi ya 1,000 yakiwamo magari ya serikali, binafsi na mashirika ya kimataifa ikiwamo Umoja wa Mataifa (UN) na Jumuiya ya Afrika Mashariki, yamefurika katika kijiji hicho kilichopo umbali ya takriban kilometa 400 kutoka Jiji la Arusha.
Wakubwa wakijisogeza Loliondo
Dawa hiyo, inatolewa na Mchungaji Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Mwasapile (76), ambaye anasema alioteshwa na Mungu kuitumia kutibu tangu mwaka 1991.
Mchungaji Mwasapile ambaye alifanya mahojiano na Mwananchi Jumapili nyumbani kwake wakati akiendendelea kutoa dawa kwa wagonjwa wake, anasema ndoto hiyo aliendelea kuota mara kadhaa hadi Agosti 26 mwaka jana alipoanza rasmi kutibu.
Mchungaji Mwasapile akihojiwa na waandishi
Anasema dawa hiyo inatokana na mti aina ya mugariga na yeye pekee ndiye anaweza kukupatia na kunywa kikombe kimoja pekee na ukinywa tu inaanza kazi ya kutibu maradhi sugu ya ukimwi, kisukari, pumu na saratani.
Wananchi wakikinga vikombe kupatiwa dawa na
Mchungaji Ambilikile Mwasapile kwa bei ya sh. 500 tu
Mchungaji Mwasapile anasema gharama za dawa hiyo ni Sh500 tu na dozi yake ni kikombe kimoja tu na hairuhusiwi kurudia kuinywa. Kabla ya kukamilika mchungaji huyo huiombea dawa hiyo na kuichemsha katika maji safi.
“Mungu ameniotesha kutoa dawa hii kwa Sh 500 aliponiambia hata mimi nilishangaa. Kwanza aliniambia niwape watu wapone saratani, kisukari, pumu na magonjwa mengine na baadaye akanionyesha kuwa dawa hii niwape hata wagonjwa wa ukimwi na watapona,“ anasema Mwasapile.
Habari hii imeandikwa Mussa Juma
na Daniel Sabuni, Loliondo.
Picha zote kwa hisani ya Aman Masue.
Friday, March 4, 2011
BABY MADAHA aanika siri zake za chumbani
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye pia amejikita katika uigizaji wa filamu, Baby Joseph Madaha hivi karibuni ameanika siri zake za chumbani huku akidai kuwa, anafanya hivyo kutokana na jinsi mapenzi yanavyochukua nafasi kubwa katika maisha yake.
Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum juu ya maisha yake ya kimapenzi, msanii huyo alisema kuwa, yeye kama mtoto wa kike amekuwa akijitahidi kuwa mtundu faragha lengo likiwa ni kuhakisha haachwi na mpenzi wake.
“Unajua asilimia kubwa ya maisha yangu imeshikiliwa na mapenzi, hivyo nahakikisha najipa furaha kwenye uwanja huu. Nampenda sana mpenzi wangu wa sasa hivyo nafanya kila ninaloweza kuhakikisha simkosi.
“Najua amedata na jinsi nilivyo, midomo yangu, macho yangu na kifua changu, pia nadhani yale ninayomfanyia tuwapo faraha yanamchanganya.
“Napenda mengi anayonifanyia, anaponishika kiuno nikiwa katika mavazi ya ndani yenye rangi nyekundu au nyeusi, ‘anaponikisi’ na kunikumbatia lakini pia katika mambo yetu yaleee, ni mtundu sana, kwa kweli nampenda,”alisema Baby Madaha ambaye kwa sasa inadaiwa anatoka na mtoto wa kigogo mmoja (jina tunaminya kwa sasa)
Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum juu ya maisha yake ya kimapenzi, msanii huyo alisema kuwa, yeye kama mtoto wa kike amekuwa akijitahidi kuwa mtundu faragha lengo likiwa ni kuhakisha haachwi na mpenzi wake.
“Unajua asilimia kubwa ya maisha yangu imeshikiliwa na mapenzi, hivyo nahakikisha najipa furaha kwenye uwanja huu. Nampenda sana mpenzi wangu wa sasa hivyo nafanya kila ninaloweza kuhakikisha simkosi.
“Najua amedata na jinsi nilivyo, midomo yangu, macho yangu na kifua changu, pia nadhani yale ninayomfanyia tuwapo faraha yanamchanganya.
“Napenda mengi anayonifanyia, anaponishika kiuno nikiwa katika mavazi ya ndani yenye rangi nyekundu au nyeusi, ‘anaponikisi’ na kunikumbatia lakini pia katika mambo yetu yaleee, ni mtundu sana, kwa kweli nampenda,”alisema Baby Madaha ambaye kwa sasa inadaiwa anatoka na mtoto wa kigogo mmoja (jina tunaminya kwa sasa)
BABY MADAHA aanika siri zake za chumbani
Msanii wa muziki wa kizazi kipya ambaye pia amejikita katika uigizaji wa filamu, Baby Joseph Madaha hivi karibuni ameanika siri zake za chumbani huku akidai kuwa, anafanya hivyo kutokana na jinsi mapenzi yanavyochukua nafasi kubwa katika maisha yake.
Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum juu ya maisha yake ya kimapenzi, msanii huyo alisema kuwa, yeye kama mtoto wa kike amekuwa akijitahidi kuwa mtundu faragha lengo likiwa ni kuhakisha haachwi na mpenzi wake.
“Unajua asilimia kubwa ya maisha yangu imeshikiliwa na mapenzi, hivyo nahakikisha najipa furaha kwenye uwanja huu. Nampenda sana mpenzi wangu wa sasa hivyo nafanya kila ninaloweza kuhakikisha simkosi.
“Najua amedata na jinsi nilivyo, midomo yangu, macho yangu na kifua changu, pia nadhani yale ninayomfanyia tuwapo faraha yanamchanganya.
“Napenda mengi anayonifanyia, anaponishika kiuno nikiwa katika mavazi ya ndani yenye rangi nyekundu au nyeusi, ‘anaponikisi’ na kunikumbatia lakini pia katika mambo yetu yaleee, ni mtundu sana, kwa kweli nampenda,”alisema Baby Madaha ambaye kwa sasa inadaiwa anatoka na mtoto wa kigogo mmoja (jina tunaminya kwa sasa).
Akizungumza na Ijumaa katika mahojiano maalum juu ya maisha yake ya kimapenzi, msanii huyo alisema kuwa, yeye kama mtoto wa kike amekuwa akijitahidi kuwa mtundu faragha lengo likiwa ni kuhakisha haachwi na mpenzi wake.
“Unajua asilimia kubwa ya maisha yangu imeshikiliwa na mapenzi, hivyo nahakikisha najipa furaha kwenye uwanja huu. Nampenda sana mpenzi wangu wa sasa hivyo nafanya kila ninaloweza kuhakikisha simkosi.
“Najua amedata na jinsi nilivyo, midomo yangu, macho yangu na kifua changu, pia nadhani yale ninayomfanyia tuwapo faraha yanamchanganya.
“Napenda mengi anayonifanyia, anaponishika kiuno nikiwa katika mavazi ya ndani yenye rangi nyekundu au nyeusi, ‘anaponikisi’ na kunikumbatia lakini pia katika mambo yetu yaleee, ni mtundu sana, kwa kweli nampenda,”alisema Baby Madaha ambaye kwa sasa inadaiwa anatoka na mtoto wa kigogo mmoja (jina tunaminya kwa sasa).
Binadamu wengine wana ROHO MBAYA ya UKATILI-Soma hii
Kiukweli kutoka moyoni nimesikitika sana!!!hivi kwa nini jamani umfanye hivi mtoto wa mwenzako? mtoto yupo darasa la tatu tu.Kisa chenyewe hana daftari!
Mtoto unayemuona katika picha ni mwanafunzi wa shule ya msingi Buguruni jijini Dar es Salaam anasoma darasa la tatu, siku yanamkuta haya alikuwa na kosa la kutokuwa na daftari mwalimu anaeitwa Ms.Haule ambaye ni mdada alimpiga na kumfinya kwa kumvuta ngozi ya macho.Mtoto nyama ya macho ikamtoka nje,macho yakawa mekundu yanatoa tu machozi mtoto akawa kama kapoteza fahamu hata kusikia akawa hasikii.Jamani nimesikitika sana kila nikiangalia picha hii ni huzuni kubwa.Mtoto anaendelea na matibabu katika hospital ya CCBRT ambako baba yake amempeleka.Baba wa mtoto anasikitika sana hana hakika kama mtoto wake atakuwa sawa!!
Hivi sasa mwalimu husika kakimbia haijulikani alipo na polisi wanamtafuta.Kwa nini lakini mwalimu umefanya hivyo haukuwa na kitu kingine cha kumuadhibu huyo mtoto mpaka macho yake uyavute? Poor kid nahisi anasikia maumivu makali sana na huyu mtoto lazima hata kisaikolojia hayupo sawa.Wewe mwalimu huko uliko hata kama umejificha ila hutajificha milele hata kama si mkono wa sheria kukuangukia ila mwenyewezi Mungu atakuonyesha nguvu yake!!!
Thursday, March 3, 2011
Eliza na Kelvin waoana rasmi!!
Mastaa wawili ‘mazao’ ya Shindano la Big Brother Africa 2009 (pichani), Elizabeth Gupta (Tanzania) na Kevin Chuwang (Nigeria), wamefunga ndoa rasmi nchini Nigeria.
Habari kutoka katika mitandao mbalimbali nchini humo zinaweka wazi kuwa, tukio hilo la kifahari lilichukua nafasi mwishoni mwa wiki iliyopita na kuhudhuriwa na mastaa kibao wa pande hizo.
Eliza na Kevin wametimiza ndoto ya kuishi pamoja baada ya kukutana katika shindano hilo na sasa inasubiriwa ndoa nyingine ya mastaa wa kinyang’anyiro hicho, Mwisho Mwampamba (Tanzania) na Meryl (Namibia) ambapo kwa sasa bado ni wachumba.
Subscribe to:
Posts (Atom)



































