This blog is for critical thinkers, people with open mind, ready to accept criticisms and work on them. Sharing the know-how, skills and experiences of Life and Technology at large. You are warmly welcome!! ---------------------------------------------------- Blogu hii ni kwa ajili ya wenye fikra makini wapendao kupokea na kufanyia kazi ukosoaji. Walio na mtazamo chanya tena mpana katika kushirikishana maarifa, ujuzi na uzoefu wa maisha na teknolojia kwa ujumla wake. Karibuni sana !!!
Wednesday, February 29, 2012
Je unajua kwamba BABU WA SAMUNGE bado anaendelea na kazi? Ingawa watu wachache sana!
Tamasha la PASAKA ni April 8-UWANJA WA TAIFA -DAR ES SALAAM
Jengo laporomoka huko Urusi baada ya mlipuko wa gesi
![]() |
| Rescuers inspect debris of an apartment building after an explosion on Monday. |
Mazoezi makali ya kupambana na fujo/ugaidi huko Korea
Tuesday, February 28, 2012
Serikali ya Pakistan yaibomoa nyumba alimouawa Osama bin Laden
![]() |
| Workers demolish the compound where Osama bin Laden was killed, in Abbottabad, Pakistan, Feb. 25. |
Utamu wa Basketball ni KUDANK!
![]() |
| Missouri guard Michael Dixon (11) hold his head while Kansas guard Travis Releford waves a towel in celebration following Kansas' win over Missouri 87-86 in overtime, in Lawrence, Kan. |
Mtu mfupi kuliko wote Duniani ni huyu hapa!
Friday, February 24, 2012
TAARIFA KUHUSU UWEPO WA DAWA BANDIA YA KUTIBU UGONJWA WA MALARIA IITWAYO ELOQUINE
![]() |
MAMLAKA YA CHAKULA NA DAWA. TAARIFA KWA UMMA TAARIFA KUHUSU UWEPO WA DAWA BANDIA YA KUTIBU UGONJWA WA MALARIA IITWAYO ELOQUINE (Quinine Sulphate 300mg USP) Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) ni wakala wa Serikali iliyo chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii yenye jukumu la kudhibiti ubora, ufanisi na usalama wa vyakula, dawa, vipodozi na vifaa tiba ili kulinda afya ya jamii.TFDA inapenda kuutaarifu umma kuwa imebaini kuwepo kwa dawa bandia ya kutibu ugonjwa wa Malaria katika soko. Dawa hiyo inaitwa Eloquine (Quinine Sulphate 300mg U.S.P) na ipo katika makopo ya vidonge 1000 (elfu moja) kila moja. Maelezo yaliyopo katika lebo yanaonesha kuwa dawa hiyo imetengenezwa na kiwanda cha Elys Chemical Industries Ltd cha nchini Kenya. Hata hivyo, TFDA imebaini kuwa kiwanda cha Elys Chemical Industries Ltd hakitengenezi dawa yenye jina la biashara la ‘ELOQUINE’. Kiwanda hicho kimesajili Tanzania Quinine Sulphate 300mg B.P isiyo na jina la kibiashara. Aidha, kiwanda cha Elys Chemical Industries Ltd kimebainisha tofauti mbalimbali zilizopo katika lebo ya dawa bandia ikilinganishwa na dawa halisi inayotengenezwa na kiwanda hicho iliyosajiliwa na TFDA na hivyo kuthibitisha kuwa kiwanda hicho hakitengenezi dawa hiyo.Katika kudhibiti usambazaji wa dawa hiyo hapa nchini, hadi sasa TFDA imekamata jumla ya makopo 155 ya dawa hiyo bandia ya Eloquine jijini Dar Es Salaam yaliyokuwa yakisubiri kusambazwa. Aidha, kopo moja lenye vidonge 115 limekamatwa Moshi, Kilimanjaro. Tayari mtuhumiwa mmoja amekwishafikishwa mahakamani na upelelezi wa chanzo na wasambazaji wa dawa hii unaendelea kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi.Uchunguzi wa dawa bandia katika maabara umebaini kuwa vidonge hivyo havina kiambato hai (active ingredient) cha Quinine Sulphate kwa ajili ya kutibu ugonjwa wa Malaria na hivyo matumizi yake ni hatari kwa afya ya binadamu.Maelezo ya kina yanayotofautisha dawa halisi iliyosajiliwa na dawa bandia ni kama yalivyoainishwa katika jedwali hapa chini. Dawa halisi iliyosajiliwa Maelezo ya dawa bandia · Jina la dawa: Quinine Sulphate 300mg B.P · Jina la biashara: Haina jina la biashara · Mtengenezaji: Elys Chemical Industries Ltd, Road B, Off Enterprise Road, P.O Box 40411, 00100 Nairobi, Kenya · Rangi ya Lebo: Nyeupe na kahawia (Brown) · Namba ya toleo: Huanzia na namba na siyo herufi. Kwa mfano: 2167E · Muda wa matumizi (Shelf life): Miaka 4 · Jina la dawa: Quinine Sulphate 300mg U.S.P · Jina la biashara: ELOQUINE · Mtengenezaji: Elys Chemical Industries Ltd, Road B, Off Enterpises Road, P.O Box 4011 00100 Nairobi, Kenya · Rangi la Lebo: Njano na Nyekundu · Namba ya toleo: GE410 · Tarehe ya kutengenezwa: 04/2009 · Tarehe ya mwisho wa matumizi: 4/2014 (Miaka 5) Wafanyabiashara wote wa dawa na wananchi wanatahadharishwa kutozitumia dawa hizi na wale wote waliouziwa dawa hizi wanaelekezwa kuzirudisha dawa hizo katika ofisi za TFDA, vituo vya afya vya Serikali au vituo vya polisi vilivyo jirani nao. TFDA inapenda pia kuwakumbusha wafanyabiashara wa dawa, wasafirishaji wa vifurushi na wananchi kutoa taarifa haraka iwezekanavyo pale wanapohisi kuuziwa dawa duni, bandia au zilizoisha muda wa matumizi. Taarifa zitolewe ofisi za TFDA makao makuu zilizopo Barabara ya Mandela, EPI Mabibo External, Dar es Salaam na Ofisi za Kanda zilizopo mtaa wa Nkurumah, Mwanza, Mtaa wa Sakina – Arusha, Hosptali ya mkoa ya Dodoma na Jengo la Ofisi ya Mifugo Mkoa wa Mbeya. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na:- MKURUGENZI MKUUMAMLAKA YA CHAKULA NA DAWAEPI MABIBO EXTERNAL,S.L.P 77150, DAR ES SALAAMSimu: + 255 222 450512/450751/452108Nukushi: + 255 222 450793Barua pepe: info@tfda.or.tzTovuti: www.tfda.or.tz |
Israeli inazidi kujengwa-Kwa "Mtini" jifunzeni
MATANGAZO YA TELEVISHENI KWA KUTUMIA TECHNOLOJIA YA ANALOGI SASA KUHAMIA KWENYE TEKNOLOJIA DIJITALI
Thursday, February 23, 2012
Hatimaye UCC Arusha tumefungiwa Video Conference System
| Baada ya kufunga vifaa, mafunzo ya msingi kuhusu utumiaji yalianza na hayo ndio materials yenyewe. |
| Mkufunzi wetu Mr. Isaac Rodgers kutoka Emec Engineering Ltd akielekeza jinsi ya kuunganisha "CODEC" na vifaa vingine |
| Taswira ya baadhi ya wafanyakazi wa Arusha waliokuwepo darasani-TR 2, wakionekana katika mitambo hio-Kumradhi picha si nzuri sana! |
POLISI WATUMIA SILAHA ZA MOTO KUTAWANYA MAANDAMANO YA WANANCHI SONGEA
Tuesday, February 21, 2012
Sanamu ya Rais Barrack Obama yazinduliwa huko Puerto Rico
![]() |
| A JROTC cadet walks past a covered bronze statue of President Barack Obama prior to an unveiling ceremony along the "Avenue of Heroes" outside the capitol building, in San Juan, Puerto Rico on Feb. 20
In San Juan, Puerto Rican officials marked Presidents Day by unveiling bronze statues of U.S. President Barack Obama and former President Lyndon B. Johnson, pointedly noting that people who live on the island can't vote in the U.S. general election and lack other basic rights.
The two life-sized statues are the newest additions to the "Avenue of Heroes," outside the capitol building in the U.S. island territory. The statues honor every sitting president who ever visited Puerto Rico, dating back to Theodore Roosevelt. Obama became the eighth when he visited in June.
|
![]() |
| A junior ROTC color guard advances with the national flags of the U.S. and Puerto Rico, at the an unveiling ceremony in San Juan on Feb. 20. |
![]() |
| Puerto Rico's resident commissioner Pedro Pierluisi and Sen. Carmelo Rios unveil a bronze statue of President Barack Obama at the Avenue of Heroes outside the capitol building, in San Juan. |
Saturday, February 18, 2012
Kungángánia madaraka kunasababisha haya yote huko Senegal
![]() |
| Anti-government protesters throw rocks at police in Dakar on Feb. 17. |
Riot police fired tear gas at protesters Friday on a main commercial boulevard in the Senegal capital of Dakar, after the country's opposition went ahead with a protest in defiance of a government ban.
Demonstrators are calling for the departure of 85-year-old President Abdoulaye Wade, who is running for a third term in next week's election.
![]() |
| A riot police officer looks at a boy he arrested during clashes with anti-government protesters in Dakar an Feb. 17. |
Senegal is just a week away from a much-anticipated presidential
election, the first in five years. Electoral law allows candidates to
hold rallies in the pre-election period, but the interior minister
issued a statement this week saying that he had refused to authorize the
protests because of the threat to public order.
Thursday, February 16, 2012
Ziara ya Vice Chancellor-UDSM Profesa Rwekaza S. Mukandala alipotembelea UDSM Computing Centre-Arusha
| Mr. Isaac Kambira DMD-BUSE-UCC akijipongeza kwa chakula, "mwili haujengwi kwa mawe jamani" |
| Mr. Isaac Kambira (kushoto) na Meneja wetu Florence Masebo(Mrs Lupenza) |
| Hapa ni zoezi la kukagua kiwanja cha UCC kilichopo mbele ya uwanja wa ndege wa hapa Arusha (KIsongo), Mr. MlauleDJ, Mr. Isaac Kambira na Mrs Florence Masebo |
| Ukaguzi wa kiwanja unaendelea |
| Mipaka ya kiwanja ipo dhahiri kabisa |
| Picha za kumbukumbu zikachukuliwa |
| Mgeni wetu rasmi Profesa Rwekaza S. Mukandala VC-UDSM akiweka katika kumbukumbu vitu muhimu wakati wa majumuisho ya ziara yake |
| Mr. Isaac Kambira na Mr. David Bashosho (kushoto) na kulia anaonekana Profesa wetu |
| Kushoto ni Florence Masebo( Mrs Lupenza) meneja wa UCC Arusha na Mr. Isaac Kambira |
| Kushoto ni Mr. Isdory ambaye ni Public Relations Officer wa University of Dar es Salaam-UDSM akifafanua jambo |
| Hoja zikawekwa mezani na tafakari ikaanza |
| Yalikuwepo mepesi yaliyojadiliwa lakini pia yalikuwepo mazito yanayohitaji ushiriki wa wengi kiutendaji, ona jinsi Profesa na Mr. Kambira walivyoshika vichwa kutafakari |
| "Tukifanya hivi na kuleta mezani kwashirikisha wenzetu, mpango utafanikiwa" ndivyo anavyoonekana kana kwamba Mr. Kambira akimwambia hivyo Profesa |
| Huyu ni Mr. Antious Gerazi akiwa uso kwa uso na Profesa wetu |
| Tabasamu lilitawala, meno thelathina nje yote mbili... aaah nimekosea, MENO THELATHINA MBILI YOTE NJE |
Hatimaye picha ya pamoja ikipigwa Kushoto kwenda kulia ni Mr. Antious Gerazi, Mr. Juma Hanzuruni, Esther Kilimba (Mrs. Mbise),Mr. Isdory, Meneja wetu Florence Masebo(Mrs Lupenza), Mimi(Daudi Mlaule), Mgeni wetu rasmi Profesa Rwekaza S. Mukandala VC-UDSM, Mr. Isaac Kambira DMD-BUSE-UCC, na Mr. David Bashosho,
| Mara baada picha za kumbukumbu tukaenda kupata mlo wa mchana(Lunch) hukoooo Tembo Club, nje kidogo ya jiji la Arusha. Hapa ni Shoprite |
| Exim Bank kwa mbele, hii ni along Dodoma road. |
| Uwanja wa ndege wa Kisongo ndio huo kushoto katika uzio |
| Njia ya kurukia ndege katika Uwanja wa ndege wa Kisongo |
| Meza ikaandaliwa |
| Stori za hapa na pale zikaendelea |
| Profesa akifafanua jambo |
| Mandhari ya Arusha inavutia jamani, japo sio maeneo yote |
Subscribe to:
Posts (Atom)









































